Mwanamke akikupenda...

<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">kama mnayajua yote hayo.......kwa nini huwa mnatukorofisha......?</span></font></font>
<br />
<br />
Hello Prt! Siyo wote wanakuwa hivyo! Ni baadhi ya Wanaume tu!
 
BAK, hebu tafadhali nishushie lyrics za 'strength of a woman' na 'when a woman is fed up', za zamani bt nadhani was shaggy boy!
unajua hata mi nashangaa where the heck do i get all the energy to love and serve a man diligently,lol! :A S kiss:
ila akikukorofisha, hata kumtabasamia unaskia exhausting!:A S-omg::boom:
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya Mkuu ombi lako litashughulikiwa haraka iwezekanavyo :):):)....Shurti uweke ndita tena za kutisha LOL!


BAK, hebu tafadhali nishushie lyrics za 'strength of a woman' na 'when a woman is fed up', za zamani bt nadhani was shaggy boy!
unajua hata mi nashangaa where the heck do i get all the energy to love and serve a man diligently,lol! :A S kiss:
ila akikukorofisha, hata kumtabasamia unaskia exhausting!:A S-omg::boom:
 
<br /hapo unataka kuvizia penzi la wa2 te te te.porini wanyama hawana akili kama za binadamu
<br />
Location yangu ni porini pia tena kisiwani mkuu, nitawapisha tu,mi nitaondoka na meli walokuja nayo
 
Love rollercoaster: Kuna wanawake wengine wakipenda basi wanapenda sana ila ukiamua kuwapenda zaidi ya wanavyokupenda wanakugeuzia kibao na unakuwa msukule wa mapenzi (source: Mbu JF).

Warning: ogopa mwanamke mwenye mapenzi sana, kwani akizuzuliwa na akapenda nje ya ndoa yako basi hapo ndo utajua kwanini kikwete anaitwa rais!

Nimemaliza
 
Back
Top Bottom