Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv ninasikia mwanaume ndo anaeacha na haachwi kwan hata mwanamke akimwacha mwanaume anasema ameachwa na co kuacha akiwa anawaelezea wenzie je ni kwel?
huwa wanajipa matumaini kuwa nimemwacha yule,kumbe limeachwa lenyewe niliona kwa babangu mzazi,alivyokuwa anajifariji huku sisi tunamcheka maana kibuti kibaya
huwa wanajipa matumaini kuwa nimemwacha yule,kumbe limeachwa lenyewe niliona kwa babangu mzazi,alivyokuwa anajifariji huku sisi tunamcheka maana kibuti kibaya
shosti umenichekesha sana. Badala ya kumfariji baba yenu mnamcheka! Watoto wabaya nyie,
Ushawahi kufika mahali ukasema hapana,sasa ndipo ilipofikia kwa upane wetu,na usijilazimishe kuwa kwenye ndoa ambayo ni ndoano,kwangu mimi hakuna tofauti ya kuwa na ndoa ama kutokuwa nayo,na hamna atakaenibadilisha kwa hilodada shosti msimcheke baba yenu ila jifunzeni madhara ya kuvunjika ndoa na mlinde zenu zisivunjike wapendwa. kuhusu nani anaacha na nani anachwa, nadhani haya ni maneno ya kiswahili rahisi na yapaswa kimaanisha maana yake halisi. aliyeanzisha hatua za kumuacha mwenzake ndiye ndiye aliyeacha na mwenziye aliyekuwa bado anamhitaji ila kashindwa kumshawishi abaki, huyo ndiye aliyeachwa. hapo hakuna cha mwanamke wala mwanaume. pia kuna wakati wanakubaliana kuwa waachane. hapo ndipo tunasema wameachana.
mantiki kuwa mwanamke ndiyee anayeachwa imejengwa zaidi na mazoea ya kijamii na ukweli kuwa ndoa nyingi zinazovunjika unakuta baba ndiye aliyemfukuza mwanamke nyumbani. hili laweza kuchangiwa na mfumo dume katika jamii na uungwana na uvumulivu wa wakina mama kwa ajili ya kulinda ndoa zao. yaani mwanamke huvumilia kwa muda mrefu zaidi kuliko mwanaume na huvendelea kuvumilia hata pale ambapo kuna sababu za wazi za kumuacha mumewe na kuondoka. binafsi najisikia heshima kuwa majoroty wanawake ndio huwa tunaachwa, hii inadhihirisha kuwa tu waaminifu na wavumilivu. ee Mungu tuongezee imani na uvumilivu. amen
Ushawahi kufika mahali ukasema hapana,sasa ndipo ilipofikia kwa upane wetu,na usijilazimishe kuwa kwenye ndoa ambayo ni ndoano,kwangu mimi hakuna tofauti ya kuwa na ndoa ama kutokuwa nayo,na hamna atakaenibadilisha kwa hilo
Ushawahi kufika mahali ukasema hapana,sasa ndipo ilipofikia kwa upane wetu,na usijilazimishe kuwa kwenye ndoa ambayo ni ndoano,kwangu mimi hakuna tofauti ya kuwa na ndoa ama kutokuwa nayo,na hamna atakaenibadilisha kwa hilo
s:mwaaah: unajua nnavyojisikia kwakoMh...!!! Sawa mama.......:crying::A S-confused1: