Mwanamfalme wa Saudia amuua mpenzi wake wa kiume UK

mwanaumemwenye tabia za kike kitanzania au kwa kiswahili halisi anaitwa shoga na mwenye kupenda kuwaingilia wanaume kinyume huitwa basha.

Ukienda mombasa neno shoga lina maana moja tu! Na kama wewe ni mwanamke ukasema fulani shoga yangu watakuuliza mara mbili mbili ila kwetu huku especial sehemu za bara shoga hutumika pia kama rafiki wakike.

msitumie neno shoga, kwa kuwa hilo maana yake ni marafiki wa kike. Au wanawake wenye urafiki wa kawaida.
Na ndiyo maana hata vijana jazz band waliimba wimbo fulani unaoitwa ''shoga unanioenea bure''.
Hao wenye tabia za ku.fi.rana wanaitwa wa,sen,nge. Hilo ndilo jina lao linalowafaa.
Kutumia neno shoga ni namna ya kutaka kuwasafisha na kuficha uchafu wao.
Kwa mimi binafsi sipendi aina hiyo ya watu waitwe shoga, hao ni was.en.nge.
 
Magazeti wanasema hata angerudi kwao angehukumiwa adhabu ya kifo, si kwa sababu ya kosa la mauaji alilofanya, bali kwa sababu ushoga ni capital offence huko Arabuni na hukumu yake ni kifo. Kwa hiyo ana bahati kupata hicho kifungo cha maisha Ulaya.
 
Ushoga ni tabia ya kizungu zaidi, na ndio kwenye misamiati ya kutosha ya tabia hiyo. Huyo mwarabu kaiga tu kutokana na utandawazi na ulimbukeni kuwa vitu vya kizungu ndiyo maendeleo. Katika misamiati hiyo, gay ni homosexual wa kiume wakati yule wa kike anaitwa lesbian. Gay wapo wa aina tatu, top (anayetia), bottom (anayetiwa) na versatile (anayetia na kutiwa). Katika baadhi ya hizo gay couples si rahisi kujua yupi top, yupi bottom au kama wote ni versatile (wanageuzana kwa zamu). Lakini kuna wengine wanaweka wazi kabisa hadi mmoja kujiita 'mke' na kumtaja mwenzie kama 'mume', na anakuwa na hulka ya kujipamba kike, hapo unakuta ni top na bottom wamekutana. Msishangae mkija kugundua kuwa huyu Prince pengine alikuwa kotekote ndio maana hata kwa mwonekano wao si rahisi kuwahisi kama ni mashoga.

Ni aibu kubwa kwa nyumba ya kifalme, lakini pia ni dalili kuwa ushoga umeweza kujipenyeza hadi kule tulikodhani hakuingiliki, na tusipokuwa makini watajazana hata huku kwetu kupitia umasikini wetu tutalazimishwa kuwatambua na kuwakubali. Tutatishiwa kuwa kama tunapinga ushoga ina maana hatuna utawala bora, kwa hiyo tutanyimwa misaada ya maendeleo. Ona Uganda na Malawi walivyofyata. Dalili mbaya sana.

Mkubwa asante kwa ufafanuzi, haya maneno yalikuwa yananitatiza kidogo.
 
roho ya kuuwa watumishi inaendelea kuwafuata hawa waarabu hii tangu walipoanzisha utumwa.....hadi watubu la sivyo wataua mpaka basii
 
Ushoga ni tabia ya kizungu zaidi, na ndio kwenye misamiati ya kutosha ya tabia hiyo. Huyo mwarabu kaiga tu kutokana na utandawazi na ulimbukeni kuwa vitu vya kizungu ndiyo maendeleo. Katika misamiati hiyo, gay ni homosexual wa kiume wakati yule wa kike anaitwa lesbian. Gay wapo wa aina tatu, top (anayetia), bottom (anayetiwa) na versatile (anayetia na kutiwa). Katika baadhi ya hizo gay couples si rahisi kujua yupi top, yupi bottom au kama wote ni versatile (wanageuzana kwa zamu). Lakini kuna wengine wanaweka wazi kabisa hadi mmoja kujiita 'mke' na kumtaja mwenzie kama 'mume', na anakuwa na hulka ya kujipamba kike, hapo unakuta ni top na bottom wamekutana. Msishangae mkija kugundua kuwa huyu Prince pengine alikuwa kotekote ndio maana hata kwa mwonekano wao si rahisi kuwahisi kama ni mashoga.

Ni aibu kubwa kwa nyumba ya kifalme, lakini pia ni dalili kuwa ushoga umeweza kujipenyeza hadi kule tulikodhani hakuingiliki, na tusipokuwa makini watajazana hata huku kwetu kupitia umasikini wetu tutalazimishwa kuwatambua na kuwakubali. Tutatishiwa kuwa kama tunapinga ushoga ina maana hatuna utawala bora, kwa hiyo tutanyimwa misaada ya maendeleo. Ona Uganda na Malawi walivyofyata. Dalili mbaya sana.

sio kweli kuwa hizo ni tabia za kizungu zaidi na huyo mwarabu ndio kaiga, hizo ni tabia za almost dunia nzima labda ungesema Wazungu ndio wamekuwa wazi zaidi na hizo tabia hapo ndipo ntakuelewa, hiyo unayosema misamiati ya TOP, Bottom, nk hayo yapo kila lugha je yametoka wapi? Bottom=Shoga/Choko/Msen*e, Top=Basha, Mende na hata ukienda arabuni wanamajina ya hao watu, refer to Sodoma na Gomora,
 
"Gay Saudi prince Saud Abdulaziz bin Nasser al Saud has been jailed for life for beating and strangling his servant to death in the culmination of a campaign of ''sadistic'' abuse."

"When arrested, he at first wrongly believed he had diplomatic immunity but his special status as a Saudi royal could not save him from British justice.
The 34-year-old, a member of one of the world's richest and most powerful dynasties, was found guilty of murder by an Old Bailey jury after just one hour and 35 minutes of deliberation."

"If he ever returns to his home country, Saud faces the possibility of execution because being gay is a capital offence there."

Gay Saudi prince jaile - Telegraph
 
sio kweli kuwa hizo ni tabia za kizungu zaidi na huyo mwarabu ndio kaiga, hizo ni tabia za almost dunia nzima labda ungesema Wazungu ndio wamekuwa wazi zaidi na hizo tabia hapo ndipo ntakuelewa, hiyo unayosema misamiati ya TOP, Bottom, nk hayo yapo kila lugha je yametoka wapi? Bottom=Shoga/Choko/Msen*e, Top=Basha, Mende na hata ukienda arabuni wanamajina ya hao watu, refer to Sodoma na Gomora,
Narudia hizo ni tabia za kizungu, na ile Sodoma na Gomora ilikuwa hukohuko kwa wazungu ndipo ikaandikwa kwenye Biblia ambacho ni kitabu cha dini ya wazungu. Huku Afrika na kwingineko duniani tabia hiyo haikuwepo kabla ya ukoloni. Chunguza utagundua ndivyo. Ukoloni ndio ulioeneza us*nge Afrika na kwingineko duniani.
 
Ushoga sio tabia ya kizungu tu,hapana sio kweli
bali ni tabia ya kawaida sana ya nchi za kiarabu,maana mwarabu anaambiwa hawezi kuolewa bila bikira,hivyo basi waarabu wengi hasa wasichana wako radhi kutoa nyuma kuliko kutumia tendo la ndoa wakihofia kutoolewa au kutengwa.Kwa hiyo ushoga imekuwa ni kitu cha kawaida sana katika familia za kiarabu,uliza watu watakwambia..

Ushoga ni tabia ya kizungu zaidi, na ndio kwenye misamiati ya kutosha ya tabia hiyo. Huyo mwarabu kaiga tu kutokana na utandawazi na ulimbukeni kuwa vitu vya kizungu ndiyo maendeleo. Katika misamiati hiyo, gay ni homosexual wa kiume wakati yule wa kike anaitwa lesbian. Gay wapo wa aina tatu, top (anayetia), bottom (anayetiwa) na versatile (anayetia na kutiwa). Katika baadhi ya hizo gay couples si rahisi kujua yupi top, yupi bottom au kama wote ni versatile (wanageuzana kwa zamu). Lakini kuna wengine wanaweka wazi kabisa hadi mmoja kujiita 'mke' na kumtaja mwenzie kama 'mume', na anakuwa na hulka ya kujipamba kike, hapo unakuta ni top na bottom wamekutana. Msishangae mkija kugundua kuwa huyu Prince pengine alikuwa kotekote ndio maana hata kwa mwonekano wao si rahisi kuwahisi kama ni mashoga.

Ni aibu kubwa kwa nyumba ya kifalme, lakini pia ni dalili kuwa ushoga umeweza kujipenyeza hadi kule tulikodhani hakuingiliki, na tusipokuwa makini watajazana hata huku kwetu kupitia umasikini wetu tutalazimishwa kuwatambua na kuwakubali. Tutatishiwa kuwa kama tunapinga ushoga ina maana hatuna utawala bora, kwa hiyo tutanyimwa misaada ya maendeleo. Ona Uganda na Malawi walivyofyata. Dalili mbaya sana.
 
Ushoga upo kila pahali - wazungu, waarabu, waafrika. Waafrika walificha sana na kujidai kwamba umekuwa introduced na waarabu na wazungu. Sio kweli hilo ila hakuna documentation huku Afrika. Imekuwaje sasa waafrika wengi ndiyo wanaendeleza hilo?

Na hilo la kuua/kutesa watumwa sidhani kama ni waarabu peke yao, hapa kwetu inatokea kwa wafanyakazi wa nyumbani au kwa kuwa ni sisi kwa sisi?
 
Ushoga sio tabia ya kizungu tu,hapana sio kweli
bali ni tabia ya kawaida sana ya nchi za kiarabu,maana mwarabu anaambiwa hawezi kuolewa bila bikira,hivyo basi waarabu wengi hasa wasichana wako radhi kutoa nyuma kuliko kutumia tendo la ndoa wakihofia kutoolewa au kutengwa.Kwa hiyo ushoga imekuwa ni kitu cha kawaida sana katika familia za kiarabu,uliza watu watakwambia..

Kwa hiyo hapo ni mwanaume ndiye anayeolewa au? Maana aliyekutwa na kadhia ya ushoga tunayemsoma kwenye thread hii ni mwanaume. Ingekuwa kamf*ra mwanamke tungekubaliana na hoja yako, lakini kumbe wote wanaume, kwa hiyo haiji.

Narudia kusisitiza kuwa hakukuwa na ushoga Africa kabla ya ukoloni wa kizungu kuingia, mwenye ushahidi wa kupinga hili alete hapa.
 
Where there is homosexuality God has abandoned the wicked transgressors...........Read Romans 1:22-26
 
Nyaralego weldone kuripoti issue na source. Imeniuma sana kumuua mbantu mwenzetu kwa sababu ya umaskini wake

Thank you ndugu Matawi,

Lakini huyo mbantu ni wa wapi? Hata kama ni orphan, hana ndugu wengine? Very sad. We can rest assured that very many incidences like this will come up.
 
_49571685_010451342-1.jpg

The pair had just returned from a Valentine's Day night out when Al Saud launched the assault

A Saudi prince has been jailed for life for murdering his servant at a hotel in central London.

Bandar Abdulaziz, 32, was found beaten and strangled in the Landmark Hotel, Marylebone, on 15 February 2010.

The Old Bailey was told the assault by Saud Abdulaziz bin Nasser al Saud had a "sexual element" and he had attacked Mr Abdulaziz many times before.

Al Saud, 34, who had admitted manslaughter but denied murder, was given a minimum jail term of 20 years.

The Saudi prince was also found guilty of causing grievous bodily harm with intent in relation to an earlier attack in a hotel lift, a charge which he had denied.

The murder of Mr Abdulaziz was the final act in a "deeply abusive" master-servant relationship in which Al Saud carried out frequent attacks on his aide "for his own personal gratification".

'Dashing' killer
Judge Mr Justice Bean said: "You were in a position of authority and trust over him which you exploited ruthlessly.

The pair had just returned from a Valentine's Day night out when Al Saud launched the assault
"I think the most likely explanation is that you could not care less whether you killed him or not."

He continued: "It is very unusual for a prince to be in the dock on a murder charge.

"It would be wrong for me to sentence you either more severely or more leniently because of your membership of the Saudi royal family."

The 34-year-old was fuelled by champagne and cocktails when he bit his servant hard on both cheeks during the attack on 15 February, the court heard.

No diplomatic immunity
Jurors heard that Mr Abdulaziz was left so worn down and injured - having suffered a "cauliflower" ear and a swollen eye from previous assaults - that he let Al Saud kill him without a fight.

A gay masseur who visited him there described the "dashing" Al Saud as a cross between Omar Sharif and Nigel Havers.

The prince initially wrongly believed he had diplomatic immunity and his royal status would save him.

But he stood with his arms folded and showed no emotion as the judge told him he must serve 19 years, having already spent one on remand.

Mr Justice Bean added: "No-one in this country is above the law."

If the prince ever returns to Saudi Arabia he faces the possibility of execution, because being gay is a capital offence in that country.

He could seek asylum in Britain after his eventual release.


Source: BBC.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom