Mwanamama Wema Sepetu,augua ghafla,alazwa ni baada ya kusikia ni lazima Magufuli awe m/kiti

Labda ile ya kudanganyia Idris bado yupo nae inamsuta, ukijumlisha na chenji za sisiem, ukijumlisha na kukosa bwana, ukijumlisha na awamu ya maisha magumu pesa haimwagwi, ukijumlisha mbeba pochi na mnanii wake Petit karudiana na mkewe, ukijumkisha na kutojielewa, ukijumlisha na kusoma elimu ya kasi aitakayo
Raisi hata kupata vyeo sisiem na kadhalika lazima yakiyomtokea...atulie atapona.

Oooh nilisahau, na dadake wa mitandaoni na kujaribu kute kutaka kuvunja mahusiano ya Chibu, kwa jinsi alivyotegemea Mrs Chibu ataachwa..mara kumbe uongo...na kupiga kote miziki ya Chibu snapuchati pati ya juzi haikujaza n.k.
Una chuki sana dada....unadhani maisha yako yatakuwa bora kwa kumuweka mtu mwingine chini?

Yeyusha hilo donge kooni kabla halijakuua
 
Au alikuwa na mimba? Haaaa mabinti wetu hawa Sijui kama tutafika nao salama
 
13740991_150245318733699_1649896424_n.jpg


Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.

Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida.
Mhhhhh jamani mna hakika
 
Una chuki sana dada....unadhani maisha yako yatakuwa bora kwa kumuweka mtu mwingine chini?

Yeyusha hilo donge kooni kabla halijakuua

Eeeh huyu simjui nimchukie nini, upwupwu tutausema...ni sitaaa..maisha yake ni yake anatuonyesha tunajajiiiiiiiiii...ndio chaguo lake.
 
13740991_150245318733699_1649896424_n.jpg


Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.

Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida.
Nani amekuambia...acha umbea
 
Wema ana stress tu zinamsumbua
Eti kastuka Jakaya kuachia kiti.Jakaya katangaza anang'atuka tokea feb huko singida
 
Dah Mungu tusaidie.Kuna vitu vya kuonyesha public na kuna private.unavyojianika hivyo ...:(
 
13740991_150245318733699_1649896424_n.jpg


Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.

Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida.


nikifanikiwa kuipata namba ya simu ya huyu ntafurahi sana msaga sumu fanya mambo
 
13740991_150245318733699_1649896424_n.jpg


Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.

Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida.
Mmh huyo daktari aliyegundua na kuthibitisha ugonjwa namsifu sana.. anaweza kuwa peke yake duniani
 
Back
Top Bottom