screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,791
- 15,692
ndioMsichana.?? Ubamaanisha wema ni bikra.??
ndioMsichana.?? Ubamaanisha wema ni bikra.??
Una chuki sana dada....unadhani maisha yako yatakuwa bora kwa kumuweka mtu mwingine chini?Labda ile ya kudanganyia Idris bado yupo nae inamsuta, ukijumlisha na chenji za sisiem, ukijumlisha na kukosa bwana, ukijumlisha na awamu ya maisha magumu pesa haimwagwi, ukijumlisha mbeba pochi na mnanii wake Petit karudiana na mkewe, ukijumkisha na kutojielewa, ukijumlisha na kusoma elimu ya kasi aitakayo
Raisi hata kupata vyeo sisiem na kadhalika lazima yakiyomtokea...atulie atapona.
Oooh nilisahau, na dadake wa mitandaoni na kujaribu kute kutaka kuvunja mahusiano ya Chibu, kwa jinsi alivyotegemea Mrs Chibu ataachwa..mara kumbe uongo...na kupiga kote miziki ya Chibu snapuchati pati ya juzi haikujaza n.k.
Ha ha ha,wabongo hatuwaweziHuyo ni msichana wewe sio mwanamama
Mhhhhh jamani mna hakika
Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.
Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida.
Una chuki sana dada....unadhani maisha yako yatakuwa bora kwa kumuweka mtu mwingine chini?
Yeyusha hilo donge kooni kabla halijakuua
aliposhinda umiss Tz alikuwa nani,kigoli?Huyo ni msichana wewe sio mwanamama
huyo ni mwanamama tena mtu mzimaHuyo ni msichana wewe sio mwanamama
Nani amekuambia...acha umbea
Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.
Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida.
RIP Mbunda Msokile.Neno " Maombi " limekuwa maarufu sana awamu hii ya tano.
Huyu nae eti alikuwa na matumaini ya kuja kuwa Mbunge?
Ngoja niendelee kusoma novel yangu iitwayo " Usiku Utakapokwisha "
Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.
Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida.
haina noma,ngoja niingie chimbo kuitafuta hahaa haanikifanikiwa kuipata namba ya simu ya huyu ntafurahi sana msaga sumu fanya mambo
mimi ndoto za alinachaNa mie nasoma.. "Jua litakapochomoza...
Mmh huyo daktari aliyegundua na kuthibitisha ugonjwa namsifu sana.. anaweza kuwa peke yake duniani
Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.
Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida.