@MUHADHIRI huu ni upotoshaji. MCT hawajataja Tanzania Daima. Walisema vyombo vya habari kwa ujumla. Wanasema kumekuwapo na headlines za kijumla jumla, mfano wakristo wafanya jambo fulani.... Au waislamu wakataa kitu fulani...... Wakati anayekataa ni mtu mmoja au watu wa chache au madhehebu fulani. Pia wamesema vyombo vya habari vihakikishe mtoa habari kwa niaba ya taasisi ya dini awe mwenye mamlaka ya kuisemea sila kila kujiibukia na kunukuliwa kuwa dini fulani inasema jambo fulani.