Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
All I would say is IF IT'S NOT BROKEN DON'T TRY TO FIX IT.Kama mfumo wa sasa umeweza kuifikisha Chadema hapa ilipo sasa,kwanini tuanze mifumo mingine ya majaribio?What if it's not going to work?Practically,katika mazingira tuliyonayo na ukweli kwamba Chadema bado ni chama kichanga,jaribio la kutenganisha uongozi linaweza kupelekea kusambaratisha chama hicho.
Ubunge si jukumu linaloweza kumnyima mwanasiasa fursa ya kukitumikia chama chake na wananchi kwa uadilifu iwapo anajua majukumu na priority zake.
Ubunge si jukumu linaloweza kumnyima mwanasiasa fursa ya kukitumikia chama chake na wananchi kwa uadilifu iwapo anajua majukumu na priority zake.