Tatizo letu wabongo CCM imetufikisha mahala ambapo hatuamini kama mtu anaweza akafanya jambo kwa manufaa ya wengine. Kwa hiyo kila kitu kizuri ambacho tunachoona mtu anafanya tunafikiri anataka kitu fulani binafsi. Ndio maana akina mwanakijiji walioamua kufanya mambo kwa ajili ya jamii na sio lazima wao binafsi wafaidi, watatundikwa majina sana tu, lakini go ahead MKJJ, at the end of the day the truth will stand out tall, visibly and clearly.