Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Unafanya nini huku saa hiz lov!!
Honey wangu Rejao nilijua mda ule ulipitiwa na usingizi ndio nikalog in mara moja kuweka hii picha ya babu,sorry darling!
Last edited by a moderator:
Unafanya nini huku saa hiz lov!!
:israel::israel::israel::israel::israel: HUBBY WANGU NDIYE MICHUZI WA JF LOLEST! MWAHHHH!
Hahah nachukua pics za siku ya nanenane kesho usikae mbali na screen yako. USIKOSE!
Kumbe ulikuwa hunisaluti? Sijui nikuchukie?
nimejidai wapi jamani??? nikimwagwa nitaolewa tena hapahapa chitchat, lol!Punguza basi mashauzi ya kujidai !
Kwa kuweka akiba ya kutokuja kukosa cha kusema siku akija kukumwaga !
Nway Cacico hujambo ?
Sijakutia machoni kitamboje!
dah!
mbona unatoa siri za ndani mkuu?
i hope The secretary hataiona hii asije nikimbia bure (ujue mpaka leo hatujazindua penzi letu tunasubiri matokeo ya vipimo vya hechiaivi vimepelekwa london kwa uzibitisho).
haya we! sina la kusema! hubby wangu atanitetea!acha kujipendekeza!
kwanza bwanenu nasikia jana mkewe kamkamata akiwa kwenye key board na kafungasha vyake!
Hahah na wewe ile yako wakati unasokomezea glass ya bar kwenye handbag yako nitaiweka. Umeacha hiyo tabia ya kuiba glass bar?
Huyu anaitwa Asprin au Babu Asprin. Anayo hifadhi kubwa ya picha za aina mbalimbali na anazitumia kumtania mtu pale anapoona inafaa. Mimi ni mmoja wa victim wa utani huo pale nilipojitokeza kwenye jukwaa hili la chitchat kueleza mahusiano yangu na dada mmoja nimpendae sana anayeitwa Erotica. Nilipomaliza maelezo yangu asprin akasema eti pamoja na yote, sijaeleza jinsi erotica anavyodeka. Kisha kaniwekea picha ya 'erotica mdekaji' ambayo ni hii hapa:
View attachment 61168
Nikaicheki picha hii ikabidi nicheke sana nikijua Asprin anapenda sana mzaha.
Utani wa Asprin haukuishia hapo. Akijua kabisa kwamba hanifahamu akaanza kunishangaa kwamba eti nitaendanaje na Erotica kwa kuwa nina resepshen za kiaina. Akatoa sura hii eti ndo mimi!
View attachment 61175
Katika hiyo thread yangu watu walichangia kamailivyo kawaida. Mmojawapo ni King'asti. Mara moja Asprin akamtokea na kumwuliza king'asti alikuwa alikuwa akienda wapi pamoja na rafiki yake@Yummy Asprin akarusha picha ya wadada wawili eti mmojawao ni King'asti na mwingine ni yummy Ione, ni hii
View attachment 61176View attachment 61176 (samahani imetoka dabo)
Ajabu hakusema King'asti au Yummy ni wa kulia au kushoto.
Kinachonistaabisha ni:Hizo picha anazipataje kwa haraka na kwa kuendana na mada iliyo jamvini.
Huyo ni Asprin. Ananikosha si haba!
hahahahaha, mwambiemwambie huyo, niliwahi kumtembelea kwake, juice kaniwekea kwenye glass imeandikwa Sea cliff, nikasema du, kuchunguza kabatini nilikoma, kuna za white sands, protea, na hz za grants, kilimanjaro, safari, mpaka nyingine nimesahau majina.
Ah wale Sea Cliff walikuwa washenz,acha niwafanyie usanii,
Protea tulikuwa tunapewa na Mr. Ahmad,
Golden ndo palikuwa poa,mpaka vijiko tulikuwa tunasunda.
Yote tisa Kumi,BeachComber
mpaka mashuka na mataulo,
dah! Jamani nikikumbuka nalia.
Hv na wewe hukumbuki ulivyokuja nyumbani na glass za Belinda Resort? Ulipewa au?
Ha ha ha ha ha
Tufunge ki-mjadala hki bwana Kijino