ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Hakuna tatizo, si alisema yuko tayari kufa kwa ajili ya kushabikia siasa. Hicho kifungo ni kidogo sana kwake kama alijiandaa hata kufa.
your take is full of stupidity
Vipi na wale waliomuua mwangosi?shimbo nae vipi?Wacha aende jela lakini 2015 atakuwa shujaa na wapo wengi wanajeshi wanaoona haya mateso,ipo siku watasema inatosha.Poor CCM
Ni muhuni aliyeshawishiwa na wahuni wenzake kuvaa sare za jeshi na ndio maana mahakama imeshindwa kuvumilia uhuni huu.Labda sijaelewa sawasawa, kumbe alikuwa mhuni tu na si mwanajeshi?...
Wanabodi.
Mtu aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akiwa amevalia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela.
Kijana huyo Abubakari Kikulu mbali na kupiga picha hiyo Lema pamoja na Nassari, kijana huyo alionyesha vidole viwili, ambayo ni alama ya Chadema.
Baada ya kukiri kosa hilo Hakimu Mkazi Mfawadhi wa Mahakama ya Mkoa wa Kilimanjaro alimuhukumu kifungo cha miaka minne jela, ili iwe fundisho.
My Take...
Chadema mmesababisha kijana wa watu kaenda jela ni jukumu lenu kuitunza familia yake pamoja na kusomesha watoto wake.
Wanabodi.
Mtu aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akiwa amevalia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela.
Kijana huyo Abubakari Kikulu mbali na kupiga picha hiyo Lema pamoja na Nassari, kijana huyo alionyesha vidole viwili, ambayo ni alama ya Chadema.
Baada ya kukiri kosa hilo Hakimu Mkazi Mfawadhi wa Mahakama ya Mkoa wa Kilimanjaro alimuhukumu kifungo cha miaka minne jela, ili iwe fundisho.
My Take...
Chadema mmesababisha kijana wa watu kaenda jela ni jukumu lenu kuitunza familia yake pamoja na kusomesha watoto wake.
Hakuwa mwanajeshi.
Tunasubiri siku mafisadi watakapo kuwa wananyongwa...Wanabodi.
Mtu aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akiwa amevalia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela.
Kijana huyo Abubakari Kikulu mbali na kupiga picha hiyo Lema pamoja na Nassari, kijana huyo alionyesha vidole viwili, ambayo ni alama ya Chadema.
Baada ya kukiri kosa hilo Hakimu Mkazi Mfawadhi wa Mahakama ya Mkoa wa Kilimanjaro alimuhukumu kifungo cha miaka minne jela, ili iwe fundisho.
My Take...
Chadema mmesababisha kijana wa watu kaenda jela ni jukumu lenu kuitunza familia yake pamoja na kusomesha watoto wake.
Mnaosema jeshi lenu ninyi ni kina nani? Nani halipi kodi kwa ajili ya JWTZ? Acheni upuuzi wa kuchekelea uonevu na udhalimu.Kupiga picha na kiongozi wa upinzani ni miaka minne then mnatumia siasa kuona hilo ni sahihi kweli? Wanajeshi wangapi wamepiga picha na viongozi wa CCM? Hakika mnaochekelea upumbavu huu iko siku mtawajibika kwani sidhani hata kama angekuwa amekiuka kanuni then,adhabu ya miaka 4 inaendana na uzito wa kosa.
Kesi za kijinga jinga ndo zinaendaga haraka ila za kina Dk Ulimboka hata kwenda kumtambua mtuhumiwa bado
Udhalimu upi? mnataka kuvunja sheria halafu mchekelewe? ukombozi si kuvunja sheria na kufanya mnayotaka.Mwache akajifunze utii wa sheria.Hizo ni dalili za mwisho wa udhalimu. Alifanya kosa gani kuwa karibu na mbunge, tena mtetezi na kipenzi cha watu?
MY TAKE: Kutokana na hili utafunguka ukurasa mpya ambao hakuna aliyeutegemea.