Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
I second it. Masa pole sana na kipigo cha Mancin and the boyz. sisi tunafukuza mwizi kimya kimya. Back to business, JK kulikoni na hayo mabadiliko?
So sick buddy! JT is costing us with his dic k....Nadhani ni strategies za kuboresha mahusiano kwa faida ya Tanzania. Mama Kichwa sana UK ilikuwa haijawahi kuwa na muwakilishi makini mwenye kutetea maslahi ya nchi yake. Ubalozi wetu UK ameubadili sana hata attitude za watendaji pale.