Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,848
- 5,055
kuna uzi umeanzishwa hapa tayari https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...la-dk-ulimboka-tiss-serikali-aibu-tupu-3.html
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kulialia wewe, huna tofauti na wanacdm wenzako, kurudia maneno hovyo tu.Wewe ni Mr Bean, hapa wenye akili wanaunganisha dotsn mpaka kipatikane kitu kizima, Zoka saa hii ana tumbo la hiari, the cloud will be over soon na kila kitu hadharani, shame upon him and people of his ilk, Jack Zoka you will never live for ever neither will the status quo that you purport to protect with such evil acts on your fellow citizens! the writting is on the wall. Msaidieni dhaifu afanye kazi ipasavyo badala ya kuwaangamiza wanothubutu kutamka kwamba "mfalme yuko uchi"! mnalea tatizo ambalo litaendelea kukomaa na hatimaye kusababisha matokeo mabaya zaidi. Symptoms zimeshabainika sasa ni wakati wa kutoa dawa na kunurse mgonjwa sio kutafuta visingizio tena Zoka, "Mficha maradhi kilio humfichua" Jk Nyerere. zoka utaua wangapi, watanzania hawaogopi tena, kukisha kucha huwezi tena kuendelea kuvuta blanketi Zoka. wake up, Zama hizo zimepitwa na wakati. hizo ni mbinu ziliasisiwa na wasovieti hata wao wameshaziacha hizo.
Wewe ni Mr Bean, hapa wenye akili wanaunganisha dotsn mpaka kipatikane kitu kizima, Zoka saa hii ana tumbo la hiari, the cloud will be over soon na kila kitu hadharani, shame upon him and people of his ilk, Jack Zoka you will never live for ever neither will the status quo that you purport to protect with such evil acts on your fellow citizens! the writting is on the wall. Msaidieni dhaifu afanye kazi ipasavyo badala ya kuwaangamiza wanothubutu kutamka kwamba "mfalme yuko uchi"! mnalea tatizo ambalo litaendelea kukomaa na hatimaye kusababisha matokeo mabaya zaidi. Symptoms zimeshabainika sasa ni wakati wa kutoa dawa na kunurse mgonjwa sio kutafuta visingizio tena Zoka, "Mficha maradhi kilio humfichua" Jk Nyerere. zoka utaua wangapi, watanzania hawaogopi tena, kukisha kucha huwezi tena kuendelea kuvuta blanketi Zoka. wake up, Zama hizo zimepitwa na wakati. hizo ni mbinu ziliasisiwa na wasovieti hata wao wameshaziacha hizo.
Hebu nionyeshe mtanzania alie amka? Bado sana, tuna muda mwingi wa kuwatawala nyie.hivi ccm haiwezi hata kufikiri kidogo kulingana na ufinyu wao wa mawazo kuwa sasa watanzania wameamka na kila uovu wao unafahmika?shame on them
Mwanahalisi haliko upande wa serikali kwa muda mrefu ..
Hebu nionyeshe mtanzania alie amka? Bado sana, tuna muda mwingi wa kuwatawala nyie.
Of course, si vyombo vyote vya habari vinaweza kuthubutu kuandika mambo kama haya. Mkuu, be positive, Mwanahalisi wamefanya kazi nzuri ya kuchangia katika kuufichua ukweli na hatimaye ukweli utaonekana. Magazeti ya jinsi hii ni muhimu sana katika jamii.watu makini tulitegemea mtazamo huo kutoka mwanahalisi.
Dada Majebere ndio muda wa kutawala umeisha kama ulikuwa unafikiri unamrithisha mwanao umechelewaHebu nionyeshe mtanzania alie amka? Bado sana, tuna muda mwingi wa kuwatawala nyie.
MADAI HAYA KAMA NI YA KWELI BASI JACK ZOKA PAMOJA NA MASWAHIBA WAKE WATENGWE KABISA NA JAMII YA TANZANIA WAPENDA AMANI NA MABADILIKO KWA NJIA YA KIDEMOKRASIA NI LAZIMA
...mradi huu mzima kama ni wa Jack Zoka binafsi basi ni mradi wa Kabwe Zitto. Na kama ni mradi wa Kabwe Zitto basi ni Jakaya Mrisho Kikwete huku akiwa hachezi mbali Hamad Rashid kama kawaida yake.
Hatua ya kwanza; kanisa litafute kumtenga mara moja Ndu Jack Zoka katika ibada na huduma zozote za kanisa.
Kwa upande mwingine, walalahoi wote Tanzania wanaotafutwa kuhujumiwa matumaini ya kukombolewa kuondokana na CCM UFISADI, kazi ni juu yetu tangu sasa kuwalinda viongozi wetu wenyewe CHADEMA.
Pamoja na yote, ni vema ikuabainika kwa wachache wanaoelewa kwamba hivi sasa jicho lote la dunia lipo Tanzania na kwamba jicho hilo liko makini kuliko.
Kwa walalahoi wa nchi hii ujumbe ni kwamba YOU WILL NEVER WALK ALONE!!!
Yale yale ya jana, juzi na leo, hakuna jipya hata moja hapo . Sana sana habari imepinduliwa tu kichwa chini miguu juu then yaitwa ushahidi, craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap !
Mwanahalisi haliko upande wa serikali kwa muda mrefu ..
Swali la kujiuliza huyo zoka anafuata amri ya nani? Mnajua hawezi tu kuamka na kufanya hayo mambo mpaka apewe agizo/sharti kutoka juu yake. So whos the main boss kwenye mipango yote ya kuua kutisha na kutengeneza ajali? Saivi mkiwa bar/pub msiache vinywaji venu wakati mnaenda toilet hata kama uko na rafiki/ndugu kila mtu ana shida ya hela saivi. U cant trust anyone.
ametajwa jembe kubenea lkn habari imeandikwa na jabir idrisa. pili mwandishi kachezea ktk habari mtumba zilizopo. hana jipya alilotupa kama ushahidi mpya!
hovyo!!!!!!!!!!!!!!!!! pu***f zenu! nimepoteza muda kusoma thread kumbe utumbo mtupu!