MwanaHalisi & News of the World: Comparative analysis

Mtoa mada unaonekana kutojua "cost and benefit analysis" linapokuja swala la maslahi ya taifa. Wakati watu wanaingia vitani kutafuta uhuru huwa wanajua kuna damu itamwagika lakini, uhuru unakuwa na thamani zaidi. Ungekuwa na akili japo kidogo ungegundua kwamba kwa matendo ya ubinafsi yanayofanywa na wanasiasa wa hapa nchini, right to privacy si mali ukilinganisha na hasara zinazotokana na kuachiwa wafanye usaliti wanaofanya kwa kudhani haki ya faragha ni muhimu.
Anyway usikose raha kwa kuwa hauko peke yako. Andrew Chenge ni kipanga na anazo shahada mbili za sheria lakini sikiliza ujinga anaotenda na utetezi wake anapopata nafasi ya kujitetea. You guys are so magamba that unatuchefua tunaojaribu kutafakari tutaliokoa vipi taifa letu dhidi ya wajinga wa aina yenu.
 
Kungekuwa na sheria ya vombo vya habari inayobainisha kwamba ni halali chombo cha habari kuchapisha habari za siri zenye lengo la kuiangamiza umma kwa namna yeyote ile kupitia mtu yeyote

Mwanhalisi haina hatia yeyote,habari zote inazoandika ni kwa manufaa ya umma
 
JohnGalt

Ni kweli inashangaza sana kwamba Mwanahalisi halijachukuliwa hatua kwa walichofanya. Hakuna explanation zaidi ya kwamba media industry ya Tanzania inakingiana kifua kwa kutuwajibishana hata katika mambo ya msingi. Kuna upuuzi mwingi tu unaendelea, lakini husikii Jukwaa la Wahariri au Media Council of Tanzania ikikemea uozo uliopo ndani yao. Kutwa wapo wanawajenga wanasiasa uchwara wa upinzani badala ya kujenga taaluma yao.

Lakini pia vyombo vya usalama vipo wapi? Nadhani Tume ya Mawasiliano iliahidi kuchunguza tukio la Zitto lakini hatujasikia hatua yoyote dhidi ya Mwanahalisi ku-hack simu yake na hata email za wanasiasa wengine. Why is this okay? Hatuna sheria za kulinda privacy katika mawasialiano? Inasikitisha sana sijui nchi yetu inakwenda wapi.

Baadhi ya habari za Mwanahalisi walizoandika baada ya ku-hack simu na emails:

Usalama wa Taifa wavamia CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi

Zitto ahusishwa na Rostam | Gazeti la MwanaHalisi

Mamlaka ya Mawasiliano haikuwa na haina mamlaka ya kimaadili ya kuwawajibisha Mwanahalisi kwa sababu hapo kabla walifumbia macho ujumbe wa matusi/kashfa kwa Dr. Slaa uliokuwa umetumwa kwa watu mbali mbali wakati wa uchaguzi 2010.
 
Ila tuache utani na brand za watu. Mwanahalisi vs News of the world? hayo magazeti hayalingani na hata waandishi wake ni wa viwango tofauti.
Tafadhali usimdhalilishe Rupert Murdoch na kampuni yake,you'll be sued(kidding).

Role ya media katika kukuza demokrasia si ya kubeza hata kidogo.media ina nguvu kuliko hata Executive pillar katika kuelimisha,kujuza na hata kutoa influence kwa public

Magazeti mengine ni sawa na magazeti pendwa tu ya wiki ila tofauti ni kwamba yenyewe yamejikita katika fani ya siasa na kulazimisha kuandika kile ambacho watu wanataka kusikia hususani kuendeleza hujuma kwa maslahi binafsi na kudidimiza demokrasia.Wanaandika tu vitu vya kinafiki na kuupotosha umma,siku watanzania wakijua ukweli basi vyombo vya habari vitapoteza credibility.jukwaa la wahariri mnayo changamoto

Kuhusu suala la zitto na Jack zoka ,sijui ni kwa nini Mwanahalisi hawakutaja alichooongea Zitto na Zoka kama kweli wao ni deadly hivyo na kwa maslahi ya umma na au kama hawakuwa na malicious intent nyuma ya hiyo story.Ni viongozi wa ngapi kwenye upande wa upinzani wenye mawasiliano na viongozi wa usalama,CCM na watendaji wakuu wa serikali na hayaonekani kuwa Tatizo?kwa vyovyote vile mwenye akili ni lazima afikirie mbele zaidi na tusiwape mwanya watu wanaotumiwa kwa maslahi ya wachache kutushirikisha katika uchafuzi,ukandamizaji au harakati za kuuwa demokrasia kwa ajili ya maslahi ya wachache.Tusiogope kusema.

Tataizo kuna baadhi ya magazeti yamejifanya kwamba na yenyewe ni jembe na kutafuta sifa za kijinga kabisa kwa kutafuta story za udaku in a biased manner kwa ajili ya kuwabomoa au kutumika kama political weapon against the political rivals.Hakuna kitu kibaya kama vyombo vya habari/gazeti kusaliti trust waliyopeawa na umaa kwa kuaminika kuwa competent lakini kumbe lina ajenda ya siri tena against public interest.

Nalipongeza sana gazeti la Raia Mwema kwa kuwa Objective,Endeleeni kuwa mfano bora wa magazeti.Congrats Jenerali ulimwengu,timu ya wahariri na waandishi kwa pamoja na wasomaji wenu kwa Ujumla.

Ndugu Ben,
Nakubaliana na hoja zako, lakini ingekuwa vizuri ukawaeleza wasomaji kwamba Mwanahalisi wamewahi 'kukujeruhi'. Hii itawasaidia wasomaji waweze kujua ni kwa kiasi gani upo independent kwenye analysis yako.
 
UNASIFIA MAGAZETI yaliyowekwa kwapani na serikali? Gazeti MwanaHALISI BWANA. sOMA KESHO utaona jinsi lilivyomchambua fisadi Rostam na Kikwete wake.
 
JohnGalt

Ni kweli inashangaza sana kwamba Mwanahalisi halijachukuliwa hatua kwa walichofanya. Hakuna explanation zaidi ya kwamba media industry ya Tanzania inakingiana kifua kwa kutuwajibishana hata katika mambo ya msingi. Kuna upuuzi mwingi tu unaendelea, lakini husikii Jukwaa la Wahariri au Media Council of Tanzania ikikemea uozo uliopo ndani yao. Kutwa wapo wanawajenga wanasiasa uchwara wa upinzani badala ya kujenga taaluma yao.

Lakini pia vyombo vya usalama vipo wapi? Nadhani Tume ya Mawasiliano iliahidi kuchunguza tukio la Zitto lakini hatujasikia hatua yoyote dhidi ya Mwanahalisi ku-hack simu yake na hata email za wanasiasa wengine. Why is this okay? Hatuna sheria za kulinda privacy katika mawasialiano? Inasikitisha sana sijui nchi yetu inakwenda wapi.

Baadhi ya habari za Mwanahalisi walizoandika baada ya ku-hack simu na emails:

Usalama wa Taifa wavamia CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi

Zitto ahusishwa na Rostam | Gazeti la MwanaHalisi
they suppose to take action not only to mwanahalisi but also for all fisadi in Tanzania waliotufikisha kwenye giza totoro usiku wa manane mind my ba ndg hii issue ya umeme ni zaidi ya mwanahalisii
 
Ndugu Ben,
Nakubaliana na hoja zako, lakini ingekuwa vizuri ukawaeleza wasomaji kwamba Mwanahalisi wamewahi 'kukujeruhi'. Hii itawasaidia wasomaji waweze kujua ni kwa kiasi gani upo independent kwenye analysis yako.

Kwani unaamini bado kwamba mwanahalisi iko independent?
 
Sometimes these actions are justified. Serikali huwa inalalamika kuhusu kuvuja kwa siri zake. I think we shouldnt just think about "SECRECY AND PRIVACY", we should also think about WHAT IS IT THAT PEOPLE WANT TO KEEP PRIVATE AND SECRET.

Tumeona bungeni barua ya katibu mkuu wa wizara, sijui kama ilikuwa classified as SECRET or not. Lakini ndio haya mambo ambayo hawataki tuyajue. Ask yourselves if keeping things of this kind SECRET does more good or harm to this country.

Well said. Are they sure Mwanahalisi hacks peoples' phones??
 
Back
Top Bottom