Na mimi naongeza kwakusema tuna raisi Mbayuwayu!
na hili ni tatizo mtu akiongea ukweli huonekana katukana, kwani wewe hujui kuwa raisi ni kigeu geu????" KIKWETE KIGEUGEU"
Mwandishi Saed Kubenea
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais ,Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?
Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani
Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
" KIKWETE KIGEUGEU"
Mwandishi Saed Kubenea
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais ,Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?
Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani
Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
na hili ni tatizo mtu akiongea ukweli huonekana katukana, kwani wewe hujui kuwa raisi ni kigeu geu????
ubora wa rasi KIKWETE umezidiwa na ule wa kandambili za maliwatoni......
maana zina umuhimu mkubwa sana mimi kwangu hunikinga na
kulikanyaga tope la maji taka nisipatwe na fangasi maana naishi nyumba za kupanga
kama mnavyojua kuwa zina vyoo vya kushea
Na mimi naongeza kwakusema tuna raisi Mbayuwayu!
" KIKWETE KIGEUGEU"
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais,Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?
Kuna wimbo wa mkenya mmoja unaitwa KIGEUGEU. Jamaa amemlaumu mpaka PAKA wake kuwa anamgeukia. Eti alimtuma ale PANYA, yeye si akaanza kula SAMAKI. Same applies to JK; tulimtuma alete maisha bora, yeye akaanza kuleta usharobaro ikulu. Mkuu umevunja record!! I like this, jamaaa for sure ni kigeugeu. Watanzania tumwombe Mungu atuepushie mbali huu uongozi wa majambazi. Chama lao limekuwa janga kwa Taifa.
" KIKWETE KIGEUGEU"
Mwandishi Saed Kubenea
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais ,Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?
Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani
Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
Du! kumbe kigeugeu ni tusi!! Na "Dunia kigeugeu" itakua tusi pia?
Mkuu nimesoma kilichoandikwa
Kwanini kubenea anatumia heading ya kigeugeu ambayo haiendani na aliyoandika ndani
Kwanin kubenea anatumia heading ya kumtusi?
Wewe ndiyo una nia mbaya na Rais unataka aumbuke kwa kutaka kubenea ashtakiwe, kwasababu Mahakama itamtaka asibitishe si ndo itakuwa balaa atakapothibitisha ukigeugeu wa kikwete??. Hata mimi namtusi Rais kwamba Kikwete ni muongo mkubwa na nikishtakiwa kwa hili nitathibitisha pia