Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Ningekuwa mimi ningetoka mkuku, ile ya msoga mie inanitosha:happy:
mwaka huu tutayasikia mengi, raisi anapora mademu, magari na kila kitu.
Ridhiwani alisema wanaishi kimjinimjini, mwaka huu tutauasikia zaidi na zaidi