Mwanahalisi imesalimu amri Kwa Zitto: Umbeya hauwezi kuzaa Ukweli

John Marwa

JF-Expert Member
May 25, 2011
275
28
Kuanzia mwezi December 2010 hadi mwezi wa march 2011 kulikua na vita kali ya maneno ya kimbea ya gazeti la Mwanahalisi kwa Mbunge Mzalendo Zitto Zuberi Kabwe! Mwanahalisi ilitoa kashifa nyingi kuwa Zitto anatumiwa na Usalama wa Taifa kuihujumu CDM,Mwanahalisi bila aibu na Mwandishi wake Kebenea ilishadadia mambo mengi juu ya Zitto kuwa anatumiwa na Mafisadi! Mwanahalisi ikafika mbali zaidi na kusema Zitto anaihama CDM,bila kujua au kutumiwa kwa fitina Gazeti la Tanzania Daima gazeti la Chadema nalo lili ingia mkumbo na kuanza umbea juu ya Zitto! Ndugu yangu Godbless Lema nae bila kuelewa siasa za majungu au alitumiwa nae aka anzisha umbea na ugomvi na Zitto! Watu wenye Ubongo wa Kuku hapa JF nao wakaingia mkenge na kuanza chuki na matusi mazito kwa Zitto! Lakini Zitto alitoa jibu moja tu "CDM nimetoka nayo mbali sana siwezi kuihujumu" leo hii Kazi inayofanyika na Mwanasiasa huyu kijana imeonesha ni mtu anaejua kujenga hoja na kuanzisha hoja bila jaziba papala kama wanasiasa wengine kama Lissu ambao hujenga hoja kwa jaziba na papara nyingi! Wengine walitabiri kuwa Zitto atafunikwa na akina Mnyika,Sugu na wengine kwa kujenga hoja! Lakini Zitto ni Mshare mrefu haufichiki kabisa! Zitto amekua mtu wa kutulia na kujenga hoja ambayo mara nyingi inakaa kwenye akili za Watanzania! Hapa JF miezi iliyopita kulikua na Ushabiki wa kumsifia sana Dr fulani lakini Zitto hakutishika na hilo amekua mwanasiasa makini mda wote! Wenye macho na akili wanaona sasa kazi anayo fanya Zitto Bungeni Kujenga CDM!
My Take: Tusikimbilie kumchukia mtu kwa Umbeya wa Mtu mwingine bila kupima ukweli halisi,Mwanahalisi imejivua nguo peupe kwa Umbea juu ya Zitto!
 
Kuanzia mwezi December 2010 hadi mwezi wa march 2011 kulikua na vita kali ya maneno ya kimbea ya gazeti la Mwanahalisi kwa Mbunge Mzalendo Zitto Zuberi Kabwe! Mwanahalisi ilitoa kashifa nyingi kuwa Zitto anatumiwa na Usalama wa Taifa kuihujumu CDM,Mwanahalisi bila aibu na Mwandishi wake Kebenea ilishadadia mambo mengi juu ya Zitto kuwa anatumiwa na Mafisadi! Mwanahalisi ikafika mbali zaidi na kusema Zitto anaihama CDM,bila kujua au kutumiwa kwa fitina Gazeti la Tanzania Daima gazeti la Chadema nalo lili ingia mkumbo na kuanza umbea juu ya Zitto! Ndugu yangu Godbless Lema nae bila kuelewa siasa za majungu au alitumiwa nae aka anzisha umbea na ugomvi na Zitto! Watu wenye Ubongo wa Kuku hapa JF nao wakaingia mkenge na kuanza chuki na matusi mazito kwa Zitto! Lakini Zitto alitoa jibu moja tu "CDM nimetoka nayo mbali sana siwezi kuihujumu" leo hii Kazi inayofanyika na Mwanasiasa huyu kijana imeonesha ni mtu anaejua kujenga hoja na kuanzisha hoja bila jaziba papala kama wanasiasa wengine kama Lissu ambao hujenga hoja kwa jaziba na papara nyingi! Wengine walitabiri kuwa Zitto atafunikwa na akina Mnyika,Sugu na wengine kwa kujenga hoja! Lakini Zitto ni Mshare mrefu haufichiki kabisa! Zitto amekua mtu wa kutulia na kujenga hoja ambayo mara nyingi inakaa kwenye akili za Watanzania! Hapa JF miezi iliyopita kulikua na Ushabiki wa kumsifia sana Dr fulani(Phd ya Ekaristi Takatifu kutoka Rome) lakini Zitto hakutishika na hilo amekua mwanasiasa makini mda wote! Wenye macho na akili wanaona sasa kazi anayo fanya Zitto Bungeni Kujenga CDM!
My Take: Tusikimbilie kumchukia mtu kwa Umbeya wa Mtu mwingine bila kupima ukweli halisi,Mwanahalisi imejivua nguo peupe kwa Umbea juu ya Zitto!

Bila shaka wewe unaUbongo wa Kuku! Ulikuwa unataka kuandika kitu gani?
 
Mwanahalisi is above all.
Kwani kipi cha uongo kilichoandikwa na Mwanahalisi.
Ni kweli Zitto alileta songombingo zake ila sasa akili zimemkaa sawa. Hongera Zitto kwa kubadilika.

Kama vipe nenda ukajisomeee Rai au UHURU
 
Ahaa!
Kumbe hata hii case ya Lowasa, Chenge,.... ni umbea katlka magazeti baasi wanasiasa CCM CHADEMA HAWANA MAKOSA NI KASHFA TU WANACHAFULIWA. Good take, msiwajadili.
 
Kuanzia mwezi December 2010 hadi mwezi wa march 2011 kulikua na vita kali ya maneno ya kimbea ya gazeti la Mwanahalisi kwa Mbunge Mzalendo Zitto Zuberi Kabwe! Mwanahalisi ilitoa kashifa nyingi kuwa Zitto anatumiwa na Usalama wa Taifa kuihujumu CDM,Mwanahalisi bila aibu na Mwandishi wake Kebenea ilishadadia mambo mengi juu ya Zitto kuwa anatumiwa na Mafisadi! Mwanahalisi ikafika mbali zaidi na kusema Zitto anaihama CDM,bila kujua au kutumiwa kwa fitina Gazeti la Tanzania Daima gazeti la Chadema nalo lili ingia mkumbo na kuanza umbea juu ya Zitto! Ndugu yangu Godbless Lema nae bila kuelewa siasa za majungu au alitumiwa nae aka anzisha umbea na ugomvi na Zitto! Watu wenye Ubongo wa Kuku hapa JF nao wakaingia mkenge na kuanza chuki na matusi mazito kwa Zitto! Lakini Zitto alitoa jibu moja tu "CDM nimetoka nayo mbali sana siwezi kuihujumu" leo hii Kazi inayofanyika na Mwanasiasa huyu kijana imeonesha ni mtu anaejua kujenga hoja na kuanzisha hoja bila jaziba papala kama wanasiasa wengine kama Lissu ambao hujenga hoja kwa jaziba na papara nyingi! Wengine walitabiri kuwa Zitto atafunikwa na akina Mnyika,Sugu na wengine kwa kujenga hoja! Lakini Zitto ni Mshare mrefu haufichiki kabisa! Zitto amekua mtu wa kutulia na kujenga hoja ambayo mara nyingi inakaa kwenye akili za Watanzania! Hapa JF miezi iliyopita kulikua na Ushabiki wa kumsifia sana Dr fulani(Phd ya Ekaristi Takatifu kutoka Rome) lakini Zitto hakutishika na hilo amekua mwanasiasa makini mda wote! Wenye macho na akili wanaona sasa kazi anayo fanya Zitto Bungeni Kujenga CDM!
My Take: Tusikimbilie kumchukia mtu kwa Umbeya wa Mtu mwingine bila kupima ukweli halisi,Mwanahalisi imejivua nguo peupe kwa Umbea juu ya Zitto!

John unamsifia Zitto kama mvua iliyokunyea!!
 
Jamaa wewe ni mpuuzi kweli mimi mpaka leo simwamini Zitto na mwanahalisi wanaripoti habari na kama si za kweli mhusika atalalalmika ulimsikia Zitto akisema chochote? nyie wafuasi wa zitto mtapotezwa polini, mnafanya kazi isiyo na mshahara mwenzenu anapeta kupitia migongo yenu.
 
Nadhani wewe akili zako hazipo sawa, watafiti waliandika juu ya Mh. Zitto, wewe unakuja kukanusha bila vidhibitisho, huoni kuwa wewe ndiye muongo, mbea, mchonganishi na hautumii kichwa chako unapotoa hoja. Zitto ni mwanasiasa anayehitajika katika upinzani, hivyo kama kuna uwalakini lazima aelezwe ukweli ili ajirekebishe, kwani CHADEMA hakuna siasa za unafiki, ni kuelezana ukweli ndiyo maana huwa unaona wanapingana waziwazi wao wenyewe ndani ya CDM kwa hoja, na siyo kama wewe ulivyo mleta majungu na kukandia PhD ya Dr Slaa, siku nyingine usitumie makalio unapoleta hoja, fikiria kwanza na kutafakari.
 
Jamaa wewe ni mpuuzi kweli mimi mpaka leo simwamini Zitto na mwanahalisi wanaripoti habari na kama si za kweli mhusika atalalalmika ulimsikia Zitto akisema chochote? nyie wafuasi wa zitto mtapotezwa polini, mnafanya kazi isiyo na mshahara mwenzenu anapeta kupitia migongo yenu.

Duh Mimi nilidhani nimebaki kuwa mtu pekee ambaye hata kwa mizinga au B52 hawezi hata siku kukmkubali, kumuamini Zitto wala ngonjera za zake, kumbe mwingine upo?
 
Kuanzia mwezi December 2010 hadi mwezi wa march 2011 kulikua na vita kali ya maneno ya kimbea ya gazeti la Mwanahalisi kwa Mbunge Mzalendo Zitto Zuberi Kabwe! Mwanahalisi ilitoa kashifa nyingi kuwa Zitto anatumiwa na Usalama wa Taifa kuihujumu CDM,Mwanahalisi bila aibu na Mwandishi wake Kebenea ilishadadia mambo mengi juu ya Zitto kuwa anatumiwa na Mafisadi! Mwanahalisi ikafika mbali zaidi na kusema Zitto anaihama CDM,bila kujua au kutumiwa kwa fitina Gazeti la Tanzania Daima gazeti la Chadema nalo lili ingia mkumbo na kuanza umbea juu ya Zitto! Ndugu yangu Godbless Lema nae bila kuelewa siasa za majungu au alitumiwa nae aka anzisha umbea na ugomvi na Zitto! Watu wenye Ubongo wa Kuku hapa JF nao wakaingia mkenge na kuanza chuki na matusi mazito kwa Zitto! Lakini Zitto alitoa jibu moja tu "CDM nimetoka nayo mbali sana siwezi kuihujumu" leo hii Kazi inayofanyika na Mwanasiasa huyu kijana imeonesha ni mtu anaejua kujenga hoja na kuanzisha hoja bila jaziba papala kama wanasiasa wengine kama Lissu ambao hujenga hoja kwa jaziba na papara nyingi! Wengine walitabiri kuwa Zitto atafunikwa na akina Mnyika,Sugu na wengine kwa kujenga hoja! Lakini Zitto ni Mshare mrefu haufichiki kabisa! Zitto amekua mtu wa kutulia na kujenga hoja ambayo mara nyingi inakaa kwenye akili za Watanzania! Hapa JF miezi iliyopita kulikua na Ushabiki wa kumsifia sana Dr fulani(Phd ya Ekaristi Takatifu kutoka Rome) lakini Zitto hakutishika na hilo amekua mwanasiasa makini mda wote! Wenye macho na akili wanaona sasa kazi anayo fanya Zitto Bungeni Kujenga CDM!
My Take: Tusikimbilie kumchukia mtu kwa Umbeya wa Mtu mwingine bila kupima ukweli halisi,Mwanahalisi imejivua nguo peupe kwa Umbea juu ya Zitto!
Mwanahalisi hawakurupuki. wanaandika issue na evidence. walianika mawasiliano ya siri ya Zitto na wanaomtuma siku saa na sekunde, ambayo hadi leo hayajakanushwa na mtu yeyote hata Zitto mwenyewe zaidi ya kulalamika kuwa anaingiliwa private issues zake. watanzania tunahitaji mtu ambaye uadilifu na umakini wake hauna hila. msaidie basi kutoa maelezo yenye mashiko dhidi ya tuhuma zote. Tulimpenda sana Zitto lakini alituumiza sana alipoanza kuchakachuliwa kwanza na DOWANS na baadaye na jamaa wa usalama wa taifa tena tukiwa katika stress za kuibiwa kura zetu na usalama wa taifa.
Wengine tulishaanza kidogokidogo kusahau haya machungu, we John mbona unatutonesha!!!!
 
Kuanzia mwezi December 2010 hadi mwezi wa march 2011 kulikua na vita kali ya maneno ya kimbea ya gazeti la Mwanahalisi kwa Mbunge Mzalendo Zitto Zuberi Kabwe! Mwanahalisi ilitoa kashifa nyingi kuwa Zitto anatumiwa na Usalama wa Taifa kuihujumu CDM,Mwanahalisi bila aibu na Mwandishi wake Kebenea ilishadadia mambo mengi juu ya Zitto kuwa anatumiwa na Mafisadi! Mwanahalisi ikafika mbali zaidi na kusema Zitto anaihama CDM,bila kujua au kutumiwa kwa fitina Gazeti la Tanzania Daima gazeti la Chadema nalo lili ingia mkumbo na kuanza umbea juu ya Zitto! Ndugu yangu Godbless Lema nae bila kuelewa siasa za majungu au alitumiwa nae aka anzisha umbea na ugomvi na Zitto! Watu wenye Ubongo wa Kuku hapa JF nao wakaingia mkenge na kuanza chuki na matusi mazito kwa Zitto! Lakini Zitto alitoa jibu moja tu "CDM nimetoka nayo mbali sana siwezi kuihujumu" leo hii Kazi inayofanyika na Mwanasiasa huyu kijana imeonesha ni mtu anaejua kujenga hoja na kuanzisha hoja bila jaziba papala kama wanasiasa wengine kama Lissu ambao hujenga hoja kwa jaziba na papara nyingi! Wengine walitabiri kuwa Zitto atafunikwa na akina Mnyika,Sugu na wengine kwa kujenga hoja! Lakini Zitto ni Mshare mrefu haufichiki kabisa! Zitto amekua mtu wa kutulia na kujenga hoja ambayo mara nyingi inakaa kwenye akili za Watanzania! Hapa JF miezi iliyopita kulikua na Ushabiki wa kumsifia sana Dr fulani(Phd ya Ekaristi Takatifu kutoka Rome) lakini Zitto hakutishika na hilo amekua mwanasiasa makini mda wote! Wenye macho na akili wanaona sasa kazi anayo fanya Zitto Bunigeni Kujenga CDM!
My Take: Tusikimbilie kumchukia mtu kwa Umbeya wa Mtu mwingine bila kupima ukweli halisi,Mwanahalisi imejivua nguo peupe kwa Umbea juu ya Zitto!

Naona umejitahidi sana kuntetea Zitto, lakini tulitamani Zitto mwenyewe ajitetee kwa tuhuma zote zilizoelekezwa kwake na gazeti la Mwanahalisi. Mimi nadhani Mwanahalisi limefanya kazi nzuri sana ya kumrudisha Zitto kwenye mstari, vinginvyo alikuwa anakwenda kurudi CCM na kujizika kisiasa. Isingekuwa Mwanahalisi, na wakereketwa kumsihi ajirudi, tungempoteza. Ni ukweli ulio wazi kuwa Zitto ni kijana makini na anayejua kujenga hoja, na atalifaidia sana taifa kwa uwezo wake. Mafisadi walitaka kutunyang'anya mpiganaji shupavu, lakini wameshindwa sasa amerudi Zitto yule tuliyekuwa tunampenda sana.

Sidhani kama ni sahihi kuanza kumkebehi Dr Slaa na kumlinganisha na Zitto. Na lazima hili tulikubali hata kama hatutaki kuwa Dr Slaa ameleta mchango mkubwa sana katika kuimarisha upinzani, na nadhani kuwa huenda hili ndilo lililomfanya Zitto kufanya about turn alipogundua kwa hakika kuwa baada ya uchaguzi wa mwaka jana ni dhahiri kuwa CDM inakwenda kuchukua dola 2015.

Karibu Zitto tujenge CDM pamoja, makosa ya kutaka ukubwa mno usiyarudie, acha wananchi wakuinue kuliko kujiinua mwenyewe usije ukaangukia pua. Biblia inasema "Ajikwezaye atadhiliwa naye ajidhiliye atakwezwa".
 
Nafikiri mtoa mada hamjamwelewa vizuri, kwangu mimi naona kama labda anaendelea na maelezo, zijaona point hata moja maelezo yake yanarudia jina zito mara kibao. Msimtukane jamani mwwelewesheni.
Anayeponda gazeti la mwanahalisi nafiki atakuwa ni mmoja wa wale wanaotamba mitaani kwamba walinyweshwa maji ya bendera ja rangi fulani hivyo hawawezi kubadirika.
 
Ningekuwa wewe ningesema baada ya mwanahalisi kumsakama Zito kwa kipindi kirefu hatimaye Zito amejirekebisha. It seems you don't believe on change, ndo maana undadhani Mwanahalisi lilikuwa linamwonea.
 
Mwanahalisi is above all.Kwani kipi cha uongo kilichoandikwa na Mwanahalisi.Ni kweli Zitto alileta songombingo zake ila sasa akili zimemkaa sawa. Hongera Zitto kwa kubadilika.Kama vipe nenda ukajisomeee Rai au UHURU
Walichofanya wana jf na wengine ni kumsaidia zitto arudi kwenye mstari,nafikiri kuna mengi kajifunza kuwa zaidi ya kuwa mjenga hoja mzuri lazima wafuasi na wanachama wakuamini na hilo kimwenendo lilikuwa tatizo.zitto bado mchanga kisiasa ingawa tukimlinganisha na wakongwe wengi ana unafuu lakini sio kipimo bora.hatuwezi sema imani ya vijana kwa zitto imerudi lakini kwa matukio ya karibuni na ushirikiano wa viongozi umeanza kufanya aanze kuingia kwenye mioyo ya watu.namtakia kheri maana vijana vichwa kama hawa kuharibiwa na mifumo ya siasa za fitna ili kuivuruga cdm ilikuwa haina maslahi kwa taifa.Nyerere ndie muasisi wa azimio la Arusha lakini stil kitabu cha azimio hilo alikuwa anatembea nacho na kukisoma sana! Maana yake pamoja na uasisi bado alikuwa anajifunza! Nani kama Nyerere kisiasa Bongo? Ni mfano wa kujifunza akina zitto.
 
Kuanzia mwezi December 2010 hadi mwezi wa march 2011 kulikua na vita kali ya maneno ya kimbea ya gazeti la Mwanahalisi kwa Mbunge Mzalendo Zitto Zuberi Kabwe! Mwanahalisi ilitoa kashifa nyingi kuwa Zitto anatumiwa na Usalama wa Taifa kuihujumu CDM,Mwanahalisi bila aibu na Mwandishi wake Kebenea ilishadadia mambo mengi juu ya Zitto kuwa anatumiwa na Mafisadi! Mwanahalisi ikafika mbali zaidi na kusema Zitto anaihama CDM,bila kujua au kutumiwa kwa fitina Gazeti la Tanzania Daima gazeti la Chadema nalo lili ingia mkumbo na kuanza umbea juu ya Zitto! Ndugu yangu Godbless Lema nae bila kuelewa siasa za majungu au alitumiwa nae aka anzisha umbea na ugomvi na Zitto! Watu wenye Ubongo wa Kuku hapa JF nao wakaingia mkenge na kuanza chuki na matusi mazito kwa Zitto! Lakini Zitto alitoa jibu moja tu "CDM nimetoka nayo mbali sana siwezi kuihujumu" leo hii Kazi inayofanyika na Mwanasiasa huyu kijana imeonesha ni mtu anaejua kujenga hoja na kuanzisha hoja bila jaziba papala kama wanasiasa wengine kama Lissu ambao hujenga hoja kwa jaziba na papara nyingi! Wengine walitabiri kuwa Zitto atafunikwa na akina Mnyika,Sugu na wengine kwa kujenga hoja! Lakini Zitto ni Mshare mrefu haufichiki kabisa! Zitto amekua mtu wa kutulia na kujenga hoja ambayo mara nyingi inakaa kwenye akili za Watanzania! Hapa JF miezi iliyopita kulikua na Ushabiki wa kumsifia sana Dr fulani(Phd ya Ekaristi Takatifu kutoka Rome) lakini Zitto hakutishika na hilo amekua mwanasiasa makini mda wote! Wenye macho na akili wanaona sasa kazi anayo fanya Zitto Bungeni Kujenga CDM!
My Take: Tusikimbilie kumchukia mtu kwa Umbeya wa Mtu mwingine bila kupima ukweli halisi,Mwanahalisi imejivua nguo peupe kwa Umbea juu ya Zitto!


Yaani unajiona umeshaingia ktk ubongo wa Zitto Kabwe na kujua hata atakayofanya kesho na keshokutwa.
Huu sio Ubongo wa Kuku, tena kifaranga?
 
Kwa mtu makini hapa JF anaelewa kuwa kuna watu ambao ukiona majina yao kwenye post zao unawezakuitimisha kwa uhakika wa asilimia 99.99% bila kusoma post zao kuwa kilichoandikwa ni upuuzi mtupu e.g giniusbrain, john marwa, jennifer, mwadhiri etc. I do not take their post serious but I do read them only when I have sufficient in order to know how much they have improved their lowest level of reasoning.
 
Mwanahalisi linafanya kazi kwa kanuni na sheria za vyombo habari huwa hawako kishabiki kama magazeti ya uhuru na mengine ya magamba wenyewe ukikosea wanakukosoa tena kwa evidence panapoitaji sifa wanakupa sasa wewe ulitaka kwenye mazuri wamkosoe wee endelea kusoma uhuru.
 
Back
Top Bottom