LoL...
I now know why!
I think the problem here ni kwa hao wanadai wanajua kufanya kazi au kuingilia kazi za wengine. wengi hawajui mechanism and why this happen or that happen till this happen wengi wanafanya kazi kwa mazoea na hata bila ujuzi. Computer field in general kwa Tanzania imeingiliwa sana na mamruki kila mtu anajifanya anajua kumputer especialy on wep page development.
For me kufahamu mechanism ni bora zaidi kuliko chochote let them go to school. na napenda kuwashauri also cheap labour in cost zaidi
I think the problem here ni kwa hao wanadai wanajua kufanya kazi au kuingilia kazi za wengine. wengi hawajui mechanism and why this happen or that happen till this happen wengi wanafanya kazi kwa mazoea na hata bila ujuzi. Computer field in general kwa Tanzania imeingiliwa sana na mamruki kila mtu anajifanya anajua kumputer especialy on wep page development.
For me kufahamu mechanism ni bora zaidi kuliko chochote let them go to school. na napenda kuwashauri also cheap labour in cost zaidi
Waheshimiwa nimepitia website ya Mwanahalisi... nimeona mauza uza huko....
http://halihalisi.co.tz/halihalisi/Hacked by mista zEr0.html
Nadhani itabidi niwatafute ili niwahamishe kwenye servers zangu, ambazo zinatumia Apache 2 servers (Linux). Wameingiliwa kirahisi kwa kuwa wanatumia Microsoft Internet Information Server, ambayo ina multiple security holes.
We did a PEN TEST for the BOT Servers, you will be surprised to know that it has several weaknesses! Tatizo ni kwamba kuna ma-consultant uchwara, ambao wanapromote Microsoft products, ambazo bado ni beta-ware. Imagine website ya BOT kuwa hacked? Si tu kwamba inaweza kuwa hacked, hata firewall yao si secure. Mtu anaweza kuingia kule kirahisi, akafanya atakalo, aka shutdown entire systems. Waambieni wanitafute kwa PM nitawaelekeza waende wapi kupata ushauri mzuri sana!
./Mwana wa Haki