Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

lakini speed ambayo dunia na vitu vilivyomo unakuwa nayo bado. pia bado unakuwa kwenye influence ya gravitational force ya dunia. kuiacha dunia ni mpaka uwe na escape velocity.

!
!
Escape velocity..... Kwa umbali nakuwa siko kwenye hiyo influence ya gravitation force kutoka duniani
 
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo

Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.

karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.

Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Malipo yatakuaje kwa wanaosolve maswali mbali mbali.Maana Mwalimu jembe lake ni ualimu wake.
 
unavyolipwa kusoma nakuchangia mada nyingine basi huyo huyo anayekulipa atakulipa
Mada nyingine huwa unaelekezwa just intro then sehemu inayobakia unaambiwa waone wahusika wanatoa contacts zao kwa hiyo na hapa ni hivyo hivyo,kwamba unajibu just intro then natoa contacts za tuition centre: ili uje uelekezwe swali zima au hapa ni tofauti unatiririka lote bure?
 
Mada nyingine huwa unaelekezwa just intro then sehemu inayobakia unaambiwa waone wahusika wanatoa contacts zao kwa hiyo na hapa ni hivyo hivyo,kwamba unajibu just intro then natoa contacts za tuition centre: ili uje uelekezwe swali zima au hapa ni tofauti unatiririka lote bure?

huwa unachangiaga mada ambazo hazina manufaa hata kuzimu, but hii yakusaidia vijana wasizurure humu bure unaona issue sana nina wasiwasi hata ujuzi huna unaofaa jukwaa hili.

pia unapoona uzi ambao haukufai haukulipi pita kimyakimya sio zambi
 
huwa unachangiaga mada ambazo hazina manufaa hata kuzimu, but hii yakusaidia vijana wasizurure humu bure unaona issue sana nina wasiwasi hata ujuzi huna unaofaa jukwaa hili.

pia unapoona uzi ambao haukufai haukulipi pita kimyakimya sio zambi
Umewahi fika kuzimu?
Ualimu kazi ya bure teh teh teh.
No one operates at loss.
 
Wambie wanafunzi waweke maswali hapa ili wasaidiane kuyatatua we unasema walimu waanze kusolve bure utafikiri wao walisoma bure sasa.

Anyway sijaja kuwambia wasiwasaidie wanafunzi Ila wajue thamani ya kazi yao.Wanastahili kupata mkate kwa kazi yao.

Humu nikileta shida kuwa nataka nichorewe ramani ya Nyumba bure utafikiri kuna mtu atanichorea?
 
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo

Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.

karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.

Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
 
Wambie wanafunzi waweke maswali hapa ili wasaidiane kuyatatua we unasema walimu waanze kusolve bure utafikiri wao walisoma bure sasa.Anyway sijaja kuwambia wasiwasaidie wanafunzi Ila wajue thamani ya kazi yao.Wanastahili kupata mkate kwa kazi yao.
Humu nikileta shida kuwa nataka nichorewe ramani ya Nyumba bure utafikiri kuna mtu atanichorea?


stressed.....

watu wakiimba ushauri wa mambo mengine sioni anayelipwa kama psychologist ukiona jambo lakujitolea ni option 2 ama ujitolee au upite kimya kimya wanaojitolea wafanye yao. pole
 
Msaada tafadhali, kama una documents au chanzo(source) chenye habari kuhusu historia ya usafiri wa nchi kavu TANZANIA haswa kwa upande wa mabasi yaendayo mikoani.
Naomba unipatie au pm please. Natanguliza shukran.
 
Back
Top Bottom