for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,394
- 4,430
hiyo ni traffic case mahakama sizana kama inahusikaPolisi na Mahakama za Tanzania ni kichomi. Kama unabisha fuatilia kesi hii ambayo kila kielelezo kiko hadharani, utaambiwa "Upelelezi unaendelea" na ikigota Mahakamani itapigwa tarehe hadi mwezi Juni mwaka huu na mwezi Juni kupigwa tena tarehe hadi Desemba mwaka huu na........! Shame on them!!!!