Mwanafunzi kulipwa zaidi ya mfanyakazi wa kima cha chini!!

huo ni mkopo. watarudisha wakipata KAZI kama hawakupata KAZI bahati yao wameula.
 
Nadhani kuna wana JF ambao hawajaelewa mantiki ya hoja hii. Mantiki ya hoja hii ni kwamba it is irrational/illogical kuwa na mkopo wa fedha za kujikimu kwa ajili ya wanafunzi kuwa nyingi kuliko kima cha chini cha mshahara. Iwapo wanafunzi walilalamikia kiwango kidogo cha fedha za kujikimu wakaongezewa kwa kiwango kilichotajwa kwa kuzingatia hali halisi ya gharama ya maisha, iweje hilo lisifanyike kwa wafanyakazi wa umma?
 
Nadhani kuna wana JF ambao hawajaelewa mantiki ya hoja hii. Mantiki ya hoja hii ni kwamba it is irrational/illogical kuwa na mkopo wa fedha za kujikimu kwa ajili ya wanafunzi kuwa nyingi kuliko kima cha chini cha mshahara. Iwapo wanafunzi walilalamikia kiwango kidogo cha fedha za kujikimu wakaongezewa kwa kiwango kilichotajwa kwa kuzingatia hali halisi ya gharama ya maisha, iweje hilo lisifanyike kwa wafanyakazi wa umma?

asante mkuu kwa kusaidia kuweka sawa mjadala huu. ubarikiwe sana
 
Nadhani kuna wana JF ambao hawajaelewa mantiki ya hoja hii. Mantiki ya hoja hii ni kwamba it is irrational/illogical kuwa na mkopo wa fedha za kujikimu kwa ajili ya wanafunzi kuwa nyingi kuliko kima cha chini cha mshahara. Iwapo wanafunzi walilalamikia kiwango kidogo cha fedha za kujikimu wakaongezewa kwa kiwango kilichotajwa kwa kuzingatia hali halisi ya gharama ya maisha, iweje hilo lisifanyike kwa wafanyakazi wa umma?

Wanafunzi walipoona maisha yamekuwa magumu na kiasi cha pesa wanayopata kama mkopo haiwatoshi walisimama kidete, wakaandamana, wakagoma hadi serikali imewasikiliza.

Serikali inatambua wazi kwamba mishahara inayowaptia wafanyakazi wake haikidhi mahitaji kabisa lakini kwakuwa wafanyakazi wenyewe wameshindwa kuwa na sauti moja, lazima wataendelea kutaabika tu hadi hapo watakapogundua nguvu waliyonayo kwa umoja wao ndipon watajikomboa.

Tutaendelea kuwaonea wivu wanafunzi wa elimu ya juu lakini ukweli ni kwamba, wanapata kile wanachokipigania kila mara wanapoona kwamba ni stahili yao.
 
kumbuka wazazi/walezi wa kima cha chini wana majukumu zaidi ya hayo yako na wanapata pungufu ya hicho unachopata wewe!!

Unaweza kuwashauri hao wazazi wakasome ili wasiendelee kupata kima cha chini,

Ni maajabu mtu kufanya irrelevant comparison, unatakiwa ufahamu hao wanaolipwa kima cha chini wana elimu kiasi gani halafu utambue na wanafunzi wa vyuo vikuu wana elimu kiasi gani pamoja na kwamba mmoja anapata mshahara na mwingine anapata bmkopo.

Na kama hawawezi kwenda shule ili mishahara yao ipande basi wanayo njia moja tu, kuunganisha nguvu zao kwa pamoja na kuibana serikali, kitaeleweka tu, lakini kwa mwendo huu wa kulalalmika bila kuchukua hatua wataendelea kulia hivi hivi kila mwaka.
 
Unaweza kuwashauri hao wazazi wakasome ili wasiendelee kupata kima cha chini,

Ni maajabu mtu kufanya irrelevant comparison, unatakiwa ufahamu hao wanaolipwa kima cha chini wana elimu kiasi gani halafu utambue na wanafunzi wa vyuo vikuu wana elimu kiasi gani pamoja na kwamba mmoja anapata mshahara na mwingine anapata bmkopo.

Na kama hawawezi kwenda shule ili mishahara yao ipande basi wanayo njia moja tu, kuunganisha nguvu zao kwa pamoja na kuibana serikali, kitaeleweka tu, lakini kwa mwendo huu wa kulalalmika bila kuchukua hatua wataendelea kulia hivi hivi kila mwaka.

Hapa naona wengi hawajaelewa Ms Judith alichotaka kuki discuss, inakua taabu kweli watu wengine kuelewa, ukizingatia shule zimepanda, na mambo ya kutumia common sense wanashindwa kujadili!
Labda ni sababu ya kukaririri sana mashuleni, au labda wanafunzi hawapewi nafasi ya kuwa wabunifu na kujifunza kutumia akili walizozaliwa nazo.
Mie naona wasomi wana safari ndefu mno bongo, kitu kidogo cha kujadili, lakini inachukua muda kweli kuelewa cha kujadili.
Tusipobadilika basi tuna kazi kubwa sana mbele yetu, labda watoto wetu wa english medium school waje kutuokoa?!
 
Hapa naona wengi hawajaelewa Ms Judith alichotaka kuki discuss, inakua taabu kweli watu wengine kuelewa, ukizingatia shule zimepanda, na mambo ya kutumia common sense wanashindwa kujadili!
Labda ni sababu ya kukaririri sana mashuleni, au labda wanafunzi hawapewi nafasi ya kuwa wabunifu na kujifunza kutumia akili walizozaliwa nazo.
Mie naona wasomi wana safari ndefu mno bongo, kitu kidogo cha kujadili, lakini inachukua muda kweli kuelewa cha kujadili.
Tusipobadilika basi tuna kazi kubwa sana mbele yetu, labda watoto wetu wa english medium school waje kutuokoa?!

Kwakuwa hujaelewa kinachojadiliwa lazima utaona kwamba hatuelewi.

Soma thread kuanzia mwanzo na uone huyo judith na wenzake wanachojaribu kukisimamisha halafu uone na sisi wengine ni kitu gani tunazungumza.

Usipojitahidi kusoma katikati ya mistari huwezi kunielewa kabisa.
 
Hapa naona wengi hawajaelewa Ms Judith alichotaka kuki discuss, inakua taabu kweli watu wengine kuelewa, ukizingatia shule zimepanda, na mambo ya kutumia common sense wanashindwa kujadili!
Labda ni sababu ya kukaririri sana mashuleni, au labda wanafunzi hawapewi nafasi ya kuwa wabunifu na kujifunza kutumia akili walizozaliwa nazo.
Mie naona wasomi wana safari ndefu mno bongo, kitu kidogo cha kujadili, lakini inachukua muda kweli kuelewa cha kujadili.
Tusipobadilika basi tuna kazi kubwa sana mbele yetu, labda watoto wetu wa english medium school waje kutuokoa?!

afadhali na wewe umeona mpendwa, mi nikisema watasema Miss Judith mbishi!
 
Kwakuwa hujaelewa kinachojadiliwa lazima utaona kwamba hatuelewi.

Soma thread kuanzia mwanzo na uone huyo judith na wenzake wanachojaribu kukisimamisha halafu uone na sisi wengine ni kitu gani tunazungumza.

Usipojitahidi kusoma katikati ya mistari huwezi kunielewa kabisa.

mkuu, ishu hapa ni je, kama serikali imeona kuwa tsh. 5,000 haiwatoshi wanafunzi kulingana na hali halisi ya maisha hadi wakaongezewa, iweje serikali hiyohiyo ione kuwa kiasi pungufu ya hicho kinawatosha wafanyakazi wa KCC ambao wana majukumu mengi na makubwa zaidi ya wanafunzi (na hata baadhi ni wazazi/walezi wa wanafunzi haohao)?
 
Unaweza kuwashauri hao wazazi wakasome ili wasiendelee kupata kima cha chini,

Ni maajabu mtu kufanya irrelevant comparison, unatakiwa ufahamu hao wanaolipwa kima cha chini wana elimu kiasi gani halafu utambue na wanafunzi wa vyuo vikuu wana elimu kiasi gani pamoja na kwamba mmoja anapata mshahara na mwingine anapata bmkopo.

Na kama hawawezi kwenda shule ili mishahara yao ipande basi wanayo njia moja tu, kuunganisha nguvu zao kwa pamoja na kuibana serikali, kitaeleweka tu, lakini kwa mwendo huu wa kulalalmika bila kuchukua hatua wataendelea kulia hivi hivi kila mwaka.

ninavyofahamu mimi, wanaopata kima cha chini wana elimu ya sekondari na wanafunzi wa vyuo vikuu wana elimu ya sekondari vilevile. elimu ya chuo kikuu huwa wanapata baada ya kuhitimu masomo yao na sio wanapodahiliwa

suala la kwenda shule ili mishahara ipande nafikiri sio ushauri muafaka kwa wafanyakazi wote kwa ujumla wao japo ni ushauri mzuri kwa mfanyakazi mmoja mmoja. kama utakubaliana na mimi kuwa taasisi yoyote ina pyiramid shape, (yaani imepanuka chini na kufunga juu), basi its practically impossible kupandisha vyeo wafanyakazi wote ila inawezekana kupandisha vyeo mfanyakazi mmoja mmoja. kwa hiyo kinachoongelewa hapa ni mazingaombwe ya serikali katika kufikia kiwango cha KCC bila kujali hali halisi ya maisha. kwa hiyo ushauri wako wa wafanyakazi wote kwenda kusoma ili wapande vyeo na mishahara ni practically impossible na kwa kweli hautoi suluhisho endelevu kaka.

ila nakubaliana na wewe mia kwa mia hapo kwenye haja ya wafanyakazi kuunganisha nguvu na kuibana serikali hadi kieleweke.

ubarikiwe sana mpendwa
 
Nakuunga mkono Miss Judith, na nashindwa kumwelewa Mwita anamaanisha nini.
Ni sawa na kusema anaetaka mshahara mzuri akagombee ubunge.
Kwanin kusiwe angalau uwiano unaoeleweka baina ya mwanafunzi wa chuo kikuu na mwalimu?
Vilevile mwalimu na mbunge, daktari na mwanasheria n.k.
Haiyumkini wote tukawa wabunge kutokana na limited number, pia ukiacha fedha za stationary, chakula anachopaswa kula mwanafunzi wa chuo si ndo hichohicho tu anachokula mwalimu?
Sijamuelewa kabisa Mwita Maranya
 
Hiyo pesa ya wanafunzi kiukweli haitoshi kwani matumizi ni mengi mno

1. kulipia chumba
2. nauli ya kwenda na kurudi chuoni
3. chakula cha asubuhi,mchana na jioni
4. kutoa photocopy kila siku zaidi ya sh 2500 kwa siku.
5. kulipia umeme pale alipopanga ili apate mwanga wa kujisomea.
6. kulipia bill ya maji ya Dawasco au mamlaka yoyote ile ya maji.
7. na mengine kama vocha kwani siamini kama kuna mtu tena msomi ana simu halafu akakaa mwezi bila kuwasiliana.

MKUUU HII PESA BADO HASHITOSHI.
 
mtoa mada tafadhali elewa kwamba mwanafunzi halipwi... zile pesa atakuja kuzilipa ana kopeshwa.. na pia wanafunzi hawana chanzo cha kupata pesa ili kununuwa vitabu.. yeye siku zote anatoa pesa...! while mfanyakazi anatoa na kuingiza....!

kuna tofauti kubwa sna kati ya hawa watu 2
 
Wafanyakazi wooote wa Serikali hawalipwi mshahara bali wanapewa RUSHWA! Hakuna mfanyakazi wa serikali asiyekula RUSHWA - kuanzia mfagiaji mpaka Waziri!

UKWELI ndiyo huo!!! Kama unakataa na wewe ni mla RUSHWA!!!
 
Off point kabisa. Hakuna anayedai kuwa hiyo pesa inatosha.
Hoja ni kuwa kama mwanafunzi mmoja hamtoshi, Je mfanyakazi mwenye familia anaishi vipi?

Wewe ukisoma tu kichwa cha habari cha thread hii unapata picha gani? Pia mtoa mada ametuwekea tu hiyo habari ya gazeti bila kutoa mtazamo wake ili tuweze kuchangia vizuri. Kichwa cha habari na content haviendani, yaani hakuna context hivyo ilibidi mimi niunganishe na niliyosikia redioni (e-media) maoni ya watanzania na kuweka maoni yangu hapa kama mtoa mada alivyotumia gazeti (print media).

Naomba wewe unisaidie kuoanisha kichwa cha thread na content yake au thread na unachokisema.
 
Hiyo pesa ya wanafunzi kiukweli haitoshi kwani matumizi ni mengi mno

1. kulipia chumba
2. nauli ya kwenda na kurudi chuoni
3. chakula cha asubuhi,mchana na jioni
4. kutoa photocopy kila siku zaidi ya sh 2500 kwa siku.
5. kulipia umeme pale alipopanga ili apate mwanga wa kujisomea.
6. kulipia bill ya maji ya Dawasco au mamlaka yoyote ile ya maji.
7. na mengine kama vocha kwani siamini kama kuna mtu tena msomi ana simu halafu akakaa mwezi bila kuwasiliana.

MKUUU HII PESA BADO HASHITOSHI.

mtoa mada tafadhali elewa kwamba mwanafunzi halipwi... zile pesa atakuja kuzilipa ana kopeshwa.. na pia wanafunzi hawana chanzo cha kupata pesa ili kununuwa vitabu.. yeye siku zote anatoa pesa...! while mfanyakazi anatoa na kuingiza....!

kuna tofauti kubwa sna kati ya hawa watu 2
mko off point wapendwa, hebu tulieni vizuri msome tena maoni ya wachangiaji mtaelewa mada inaongelea nini

asanteni kwa kunielewa
 
Back
Top Bottom