Mwanafunzi kulipwa zaidi ya mfanyakazi wa kima cha chini!!

Basi ni vema na waalimu nao wapewe hii mikopo isiyokuwa na riba..., Hapa issue sio kwamba wanafunzi wanapata pesa nyingi.., issue ni kwamba waalimu hawapewi fedha za kutosha. Sasa kama serikali imetambua kwamba pesa hizo hazimtoshi mwanafunzi kujikimu, iweje idhani kwamba pesa pungufu ya hizo inamtosha mwalimu tena mwenye familia na majukumu zaidi?

i feel ya bra! but kumbuka mwanafunzi ana matumizi mengi sana .. ukiachana na hostels, kuna vitabu , kuta kutoa copies .. walimu hawawezi kupata pesa toka bodi ya mikopo.. ile ipo kwa ajili ya wanafunzi tu!...

kipindi nipo tz walimu ilikuwa rahisi sana kupata mikopo tena kulikuwa na special mikopo ya walimu na polisi/ wanajeshi ....

all in all serikali yatakiwa iongeze kima cha mishahara ya walimu! kazi wafanyayo ni nzito sana
 
Hyo pesa ni nzuri lkn wangerebsha na mfumo wa kutoa grades kwasisi wenye 30% bado tunamzgo mkubwa sana wa tution
 
Tutegemee basi na mabadiliko kwa wafanyakazi wengine, kama vile maisha yalivyo magumu kwa wanafunzi, wafanyakazi ni magumu zaidi.
 
jamani kuna wanavyuo wengine huku hatuna hostels kwa hiyo tunapanga vyumba.huku moshi wachaga wachungu na ardhi yao na kodi sasa inafika elfu 60 kwa mwezi -hujalipia umeme wala maji ambayo yamepanda viwango kwa sasa.sahani ya chakulu-wali maharage 1200!kodi tu ya mwaka ni nusu boom..hata tujifunge vipi mikanda hali bado ni ngumu!!
 
Hapa sioni tatizo, wafanyakazi wa kima cha chini waliopo serikali ni darasa la 7, mwanafunzi wa chuo ana cheti cha form 6, waajiriwa wapya kcc ni form 4
 
Kwa kweli hii serikali ya mheshimiwa Jk inashangaza yaani mtu bado mwanafunzi hana majukumu ya kifamilia analipwa zaidi lakini akianza kazi na majukumu yote mshahara unashuka sijui hapo ataishi vipi kama siyo kuanza kuchakachua wafanyakazi inabidi nao waandamane au wanaogopa virungu!!!!
 
leonimeamini kuwa wanawake kumbe hawanaakili, na hawawezi kutuletea zao zipi hapa. weye **** nataka nikueleweshe kuwa wanafunzi hawalipwi hizo pesa ni za mkopo tukimaliza chuo tukianza kazitunatakiwa tuanze kuzilipa hivyo basi haifai kulinganisha mshahara na mkopo wa wanafunzi.

mijitu mijinga kama weye huwa inanikera sana yaani huu mkopo sisi tuna pigana ili tukopeshwe halafu weye unasema eti sisi tunalipwa eboo.
 
Wakuu hiyo si ndiyo inaitwa mkopo au?????????? Nadhani huu wa wanafunzi si mshahara. Japo surviving on hiyo kima cha chini 149,000/= ambayo ndani yake kuna kodi, bima ya afya, sijui SACOSS is just impractical.
 
jamani kuna wanavyuo wengine huku hatuna hostels kwa hiyo tunapanga vyumba.huku moshi wachaga wachungu na ardhi yao na kodi sasa inafika elfu 60 kwa mwezi -hujalipia umeme wala maji ambayo yamepanda viwango kwa sasa.sahani ya chakulu-wali maharage 1200!kodi tu ya mwaka ni nusu boom..hata tujifunge vipi mikanda hali bado ni ngumu!!

kumbuka wazazi/walezi wa kima cha chini wana majukumu zaidi ya hayo yako na wanapata pungufu ya hicho unachopata wewe!!

Hapa sioni tatizo, wafanyakazi wa kima cha chini waliopo serikali ni darasa la 7, mwanafunzi wa chuo ana cheti cha form 6, waajiriwa wapya kcc ni form 4

soma post #20 ya VOR

leonimeamini kuwa wanawake kumbe hawanaakili, na hawawezi kutuletea zao zipi hapa. weye **** nataka nikueleweshe kuwa wanafunzi hawalipwi hizo pesa ni za mkopo tukimaliza chuo tukianza kazitunatakiwa tuanze kuzilipa hivyo basi haifai kulinganisha mshahara na mkopo wa wanafunzi.

mijitu mijinga kama weye huwa inanikera sana yaani huu mkopo sisi tuna pigana ili tukopeshwe halafu weye unasema eti sisi tunalipwa eboo.

kama kweli una akili kuzidi yangu, basi si kwa sababu wewe ni mwanaume bali kwa sababu ya neema ya Mungu kakujaalia kipaji. hata mimi kama kweli sina akili, si kwa sababu ni mwanamke na najua hata wewe umeishashuhudia wanawake wengi tu wenye akili kushinda wanaume wengi tu, so nakushauri kama una akili sana ujibu hoja na usimshambulie mtoa hoja.

ukishatuliza hasira zako juu ya mtoa hoja, soma post # 20 a VOR amefafanua vizuri kwa manufaa ya wale wazito kuelewa

Hiy posho ni mkopo au grant?

soma post # 20 a VOR
 
jamani kuna wanavyuo wengine huku hatuna hostels kwa hiyo tunapanga vyumba.huku moshi wachaga wachungu na ardhi yao na kodi sasa inafika elfu 60 kwa mwezi -hujalipia umeme wala maji ambayo yamepanda viwango kwa sasa.sahani ya chakulu-wali maharage 1200!kodi tu ya mwaka ni nusu boom..hata tujifunge vipi mikanda hali bado ni ngumu!!

Kumbuka mfanyakazi anatakiwa kupanga vyumba zaidi ya kimoja, umeme, maji na chakula cha familia kwa pesa ndogo kuliko hiyo.
 
leonimeamini kuwa wanawake kumbe hawanaakili, na hawawezi kutuletea zao zipi hapa. weye **** nataka nikueleweshe kuwa wanafunzi hawalipwi hizo pesa ni za mkopo tukimaliza chuo tukianza kazitunatakiwa tuanze kuzilipa hivyo basi haifai kulinganisha mshahara na mkopo wa wanafunzi.

mijitu mijinga kama weye huwa inanikera sana yaani huu mkopo sisi tuna pigana ili tukopeshwe halafu weye unasema eti sisi tunalipwa eboo.

Hivi na wewe unasoma chuo kikuu. Hoja kama hizi zinakiabisha chuo chako.
 
leonimeamini kuwa wanawake kumbe hawanaakili, na hawawezi kutuletea zao zipi hapa. weye **** nataka nikueleweshe kuwa wanafunzi hawalipwi hizo pesa ni za mkopo tukimaliza chuo tukianza kazitunatakiwa tuanze kuzilipa hivyo basi haifai kulinganisha mshahara na mkopo wa wanafunzi.

mijitu mijinga kama weye huwa inanikera sana yaani huu mkopo sisi tuna pigana ili tukopeshwe halafu weye unasema eti sisi tunalipwa eboo.


Dogo acha jazba,jifunze kupokea changamoto.Ni mawazo yake,soma pia michango ya watu wengine kuna mawazo mazuri tu
 
Sh. 7500 kwa siku sio nyingi mkuu.
Hebu fanya mahesabu.
Chai -
Nauli kwa siku na n.k -
Chakula cha mchana -
Chakula cha Usiku -
Kodi ya chumba -
Sabuni, Stationeries, Nguo, n.k.

Aise mie bado naona ndogo, ila sababu ni wanafunzi na nchi ni maskini, basi waikubali tu.
Ila sijui wale wanaopata kima cha chini cha 80,000/- au 100,000/- wanaishi VIPI????
 
Sh. 7500 kwa siku sio nyingi mkuu.
Hebu fanya mahesabu.
Chai -
Nauli kwa siku na n.k -
Chakula cha mchana -
Chakula cha Usiku -
Kodi ya chumba -
Sabuni, Stationeries, Nguo, n.k.

Aise mie bado naona ndogo, ila sababu ni wanafunzi na nchi ni maskini, basi waikubali tu.
Ila sijui wale wanaopata kima cha chini cha 80,000/- au 100,000/- wanaishi VIPI????

kwenye red ni kweli tupu na nakubaliana na wewe mia kwa mia, ila hapo ulipobold kwa kweli mtu unaweza kuwaza hadi ukapata wazimu hivihivi!

halafu inakuja kuuma zaidi ukizingatia kuwa kwa waheshimiwa huo mshahara wa mwezi mzima kwa mfanyakazi wa KCC ni posho yake ya kikao kimoja tu na tena haipunguzwi kwa PAYE, NSSF, NHIF, sijui SACCOS wala nini vile! na kwa siku anaweza kuwa na vikao hadi vitano na analipwa kila kikao! hapo umejaribu ku-ignore mishiko ya akina jairo!
 
Judi,

Hili linakwenda kwa simple logics tu,

1. Kati ya hao wawili (mfanyakazi na mwanafunzi), nani anaweza kusimama kidete akadai haki yake?
2. Kati ya hao watu..akina nani ni mtaji wa kisiasa zaidi ya wenzao na wanaweza kusababisha gharika kwa mkuu yeyote anayetaka kwenda Ikulu au chaama kinachotaka kujipatia ushindi?
 
Judi,

Hili linakwenda kwa simple logics tu,

1. Kati ya hao wawili (mfanyakazi na mwanafunzi), nani anaweza kusimama kidete akadai haki yake?
2. Kati ya hao watu..akina nani ni mtaji wa kisiasa zaidi ya wenzao na wanaweza kusababisha gharika kwa mkuu yeyote anayetaka kwenda Ikulu au chaama kinachotaka kujipatia ushindi?

haha, ni kweli tupu usemayo mpendwa, inabidi wafanyakazi nao waamke sasa, waache kutumiwa tu hasa wakati wa kampeni za uchaguzi!
 
Kwa kweli hii serikali ya mheshimiwa Jk inashangaza yaani mtu bado mwanafunzi hana majukumu ya kifamilia analipwa zaidi lakini akianza kazi na majukumu yote mshahara unashuka sijui hapo ataishi vipi kama siyo kuanza kuchakachua wafanyakazi inabidi nao waandamane au wanaogopa virungu!!!!
wewe umesoma chuo kweli wewe? Mwaka gani?
 
Back
Top Bottom