engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
NDUGU wana Jf,habari
napenda niwape habari iliyotokea saa moja lililopita,kuwa hapa china Yangling katika chuo nisomacho NORTHWEST A&F UNIVERSITY mwanafunzi kutoka Bangradeshi ameuwauwa na raia wa kichina kwa kuchomwa kisu,mwanafunzi huyo ameuwawa chumbani kwake bwenini wakati akiwa anajiandaa na mtihani kesho,Ndugu wana jf tupo ktk mazingira magumu kwani watanzania hapa tupo wawili mmoja anatokea Moshi na mimi natokea Morogoro,hivyo tunaomba mjue kuwa chochote chaweza tokea kwa sisi ndugu zenu tulio hapa china
hii ni taarifa tu nawaomba wapeni taarifa na ndugu zetu walio china ktk vyuo vingine wajihadhari na hili
mapinduzi daimaaaaaa
napenda niwape habari iliyotokea saa moja lililopita,kuwa hapa china Yangling katika chuo nisomacho NORTHWEST A&F UNIVERSITY mwanafunzi kutoka Bangradeshi ameuwauwa na raia wa kichina kwa kuchomwa kisu,mwanafunzi huyo ameuwawa chumbani kwake bwenini wakati akiwa anajiandaa na mtihani kesho,Ndugu wana jf tupo ktk mazingira magumu kwani watanzania hapa tupo wawili mmoja anatokea Moshi na mimi natokea Morogoro,hivyo tunaomba mjue kuwa chochote chaweza tokea kwa sisi ndugu zenu tulio hapa china
hii ni taarifa tu nawaomba wapeni taarifa na ndugu zetu walio china ktk vyuo vingine wajihadhari na hili
mapinduzi daimaaaaaa