Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
sikumaanisha kwamba ni walikuwa watoto, ila baadhi ya watu wanakuwa na akili fupi ya kufikiri, wanafikiri wakati uliopo tu, hawafikiri wakati ujao utakuwa vp. Ndio maana nikasema akili za kitoto, maana mtoto huwa anafikiri wakati uliopo. Hivyo watu wote wanaoua wenzao kwa ajili ya mapenzi au wanajiua kwa ajili ya mapenzi mie huwa nawafanisha akili zao na mtoto.
Sidhani kama ni sahihi kuzi characterize akili za watu wazima wauao wapenzi wao kuwa ni sawa na za kitoto. Utalinganishaje akili ya muuaji aliyekusudia na akili ya mtoto ambaye usikute hana hata chembe ya wazo la kuondoa uhai wa binadamu mwingine? Huwatendei haki watoto namna hiyo.
Muuaji ni mtu mwenye akili ya kiuaji tu.