Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
copy and paste!!!!!!!!!!!! Hatuna wanamuziki bali copy cats!!
copy and paste!!!!!!!!!!!! Hatuna wanamuziki bali copy cats!!
Tatizo sio redio tatizo ni wasanii hawana shule!!! unaweza nitajia wapi ushaona mtu mwenye shule yake akafanya upuuzi kama huo..mbona prof J , Mwana FA waliokwenda shule hawajawahi tukana mtu redioni?? kwanza huyo TID najifanya kujua kingereza lakini anapiga broken mbaya..ndo anakua wa kwanza kutukana watu..hawajui jinsi ya kuhandle interviews..kumbuka kwamba clouds hiyo hiyo ndio inawapa promo kila siku na clouds hiyo hiyo ndio wameitukana..vipaji vya kuunga unga ..kubebwa wabebwe halafu they can't even behave??? bure kabisa..hili tatizo halipo kwa wanamuziki tu bali kwa wale wotee wanaojiita superstars..they don't know how to handle situations in interviews ..mtu mwenye busara utamtambua tu pale unapopata swali gumu kama hilo unaweza lijibu vipi proffessionally, lakini kwakuwa vichwa vyao maji..anabakia tu kutukana..hana akili zaidi ya kunywa bia tu...majinga makubwa
sawa baba johniiii tumekuelewa....! nyie si ndo watangazaji wasomi !Tatizo sio redio tatizo ni wasanii hawana shule!!! unaweza nitajia wapi ushaona mtu mwenye shule yake akafanya upuuzi kama huo..mbona prof J , Mwana FA waliokwenda shule hawajawahi tukana mtu redioni?? kwanza huyo TID najifanya kujua kingereza lakini anapiga broken mbaya..ndo anakua wa kwanza kutukana watu..hawajui jinsi ya kuhandle interviews..kumbuka kwamba clouds hiyo hiyo ndio inawapa promo kila siku na clouds hiyo hiyo ndio wameitukana..vipaji vya kuunga unga ..kubebwa wabebwe halafu they can't even behave??? bure kabisa..hili tatizo halipo kwa wanamuziki tu bali kwa wale wotee wanaojiita superstars..they don't know how to handle situations in interviews ..mtu mwenye busara utamtambua tu pale unapopata swali gumu kama hilo unaweza lijibu vipi proffessionally, lakini kwakuwa vichwa vyao maji..anabakia tu kutukana..hana akili zaidi ya kunywa bia tu...majinga makubwa
sawa baba johniiii tumekuelewa....! nyie si ndo watangazaji wasomi !
Namnjua kuuliza kisomi.....!
sasa mtu kama ni shoga na ukamuita shoga sasa hapo ilo tusi liko wapi hapo? Ni nani asiyejuwa kwamba clouds imejaa mashoga na wanaliwa kama mboga!?
Kwa hili sidhani kama tutakuwa fair kusema samaki mmoja akioza. Tuwe wakweli kila binadamu ana mapungufu yake. Mi napenda ubunifu wa hawa jamaa (I stand to be corrected) Dully na wenzake ni wavivu na ndo maana hawana maendeleo ukilinganisha na wasanii walioko Uganda na Kenya (walioko kwenye game ukilinganisha kwa umri) Nimesikiliza kwa makini nikaona hapo ni mwisho wa copy n paste. Pole Dully, bongofleva haikupendi, nyie ni bazoka ya kufa mtu hamtaendelea ng'o kwa kuigaItakuwa ni clouds fm!
The fact is wana tabia za kichoko sana!
ndo kina nani hao?
Mkuu Nashukuru nimezisikia Wana copy sana
Kaomba msamaha
kachambe kwanza ndo uniambie hivyo, idiot