Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 70,999
- 104,694
Mi naomba nichangie hili la "kunya" kidogo.
Ili hilo tendo liwe efficient inabidi mtu akila chakula na akajisaidia basi kwenye hayo mav*i kusiwe na mabaki ya chakula, la sivyo kutakuwa na mapungufu ya kiujendaji.
Je, vipi zile gas(ushuzi) zitokazo huko haziwezi kuwa dalili au causes za inefficiency?
Hata mavi yenyewe (ashakum) ni inefficiency kwa sababu ni alama kwamba mwili umeshindwa kutumia chakula chote ulichopewa, kingine kimekuwa "waste product".