Mwanadamu na matumizi ya uwezo wake!!!!

psychologist wanasema hivi kile ukijuacho umetumia only 10% na hii ni kwasababu ukiweza kuiexploit yote this world will turn up to a disaster place for living imagine exploitation of what you have is only 10% and yet so much destruction in this world what if you exploit half of it?

Mawazo ya kimasikini hayo.
Kwann usifikirie labda tungetumia akili zetu vizuri tusingekuwa wabinafsi na badala yake tunge-share the true natural love.
 
manchoso,acha usanii wa dr Zakir Naik bana.Achana na mawazo ya watu angalia maandiko.Mjadala uliouanzisha japokua unatutoa kwenye mada nitakusaidia kidogo:Uungu wa Yesu umeanzia agano la kale,lakini nitakupa mistari michache kutoka agano jipya.Pia namna Yesu alivyoitwa Mungu ni tofauti na Musa na baadhi ya mifano uliyotoa,hilo tuliache.Kwenye ufu 1:8 kuna kauli ina sema,"Mimi ni alfa na omega asema Bwana Mungu,aliyeko na aliyekuwako na atakaekuja,Mwenyezi".Kama unataka kumjua huyo aliyesemwa hapo ni nani,jiulize ni nani alisema atakuja?Pia ufu 21:7,Yesu anasema,"Yeye ashindae atayarithi haya,nami nitakua Mungu kwake nae atakua mwanangu".Unadhani Musa au kuna mtume yoyote unaemjua wewe aliyewahi kutoa kauli hii?Thubutu!!!Pia ufu 22:16 anasema,"Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia mambo hayo katika makanisa.Mimi niliye shina na mzao wa Daudi,ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi".Hivi unadhani ni mwanadamu gani anaweza kusema "nimemtuma malaika WANGU"?Sote tunajua malaika ni wa Mungu kwa sababu amewaumba,tangu Adam mpaka leo hakuna mwanadamu alidai ana malaika,Yesu hakuwa mwanadamu bali Mungu,na yeye ndie aliyewaumba malaika na vyote Yoh 1:3.Asingesema hayo kama angekuwa mwanadamu!

umeifafanua vema mdau
 
Last edited by a moderator:
Eiyer.
Swali langu ni kwanini watu dunia nzima tumetofautiana kuielewa Biblia?

Take your time and think!

nadhani sababu kubwa ni kwamba biblia tofauti na magaazeti, ni kitabu kinacho hitaji kufikiria sana..na ni hapo, kwene "kufikiria" ndipo binadamu tunapotofautiana humu duniani
 
Ukitaka kujua hatutumii uwezo wetu kikamilifu muangalie yule mchizi Nik Wallenda aliyevuka Niagara Falls akitembea juu ya kamba.

Mungu anatumika tu kueleza yale ambayo hatujayaelewa.

 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kujua hatutumii uwezo wetu kikamilifu muangalie yule mchizi 9Nik Wallenda0 aliyevuka Niagara Falls akitembea juu ya kamba.

Mungu anatumika tu kueleza yale ambayo hatujayaelewa.



Upo mkuu?
Mi nilishamuona huyo jamaa.
Vp umewahi kumuona ICE MAN?
Alishakuja kupanda kilimanjaro akiwa kifua wazi, kaptula na viatu vya wazi.
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na Kiranga hapo juu.Ndo maana hata Yesu miujiza aliyofanya tunaishangaa,kumbe ule ni ujumbe kuwa yapo mengi sana yanayoweza kufanywa na akili zetu kama tutataka kuzitumia!
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na Kiranga hapo juu.Ndo maana hata Yesu miujiza aliyofanya tunaishangaa,kumbe ule ni ujumbe kuwa yapo mengi sana yanayoweza kufanywa na akili zetu kama tutataka kuzitumia!
 
Last edited by a moderator:
Kuvuka kwa kamba hiyo Niagra falls mbona na swala la mazoezi tu ya sarakasi? hamna maajabu hapo wachina kila siku wanatembea kwenye kamba hata bongo wapo kibao usifananishe miujiza ya CHRIST na na hayo mazoezi kila mtu anaweza kutembea hapo
 
Kuvuka kwa kamba hiyo Niagra falls mbona na swala la mazoezi tu ya sarakasi? hamna maajabu hapo wachina kila siku wanatembea kwenye kamba hata bongo wapo kibao usifananishe miujiza ya CHRIST na na hayo mazoezi kila mtu anaweza kutembea hapo

Kwahiyo mambo aliyoyafanya "CHRIST" aliyafanya kwa kutumia nguvu ya kibinadamu au some powers beyond the human capability?
 
Nani kakuambia uko limited?
What are your limitations?

Limitations mbona ziko nyingi sana???!!! Ni kuwa huzioni au ndio uvivu wa kufikiri (yaani inawezekana hata hiyo 10% wanayosema hujaifikia wewe). Nitakupa mifano miwili mitatu ili upate akili ndio urudi na maswali ya kitoto kama haya.

  1. Hakuna mtu anayeweza kuishi bila oxygen wala maji.
  2. Huwezi kuutoa ubongo wako mwenyewe na kuushika mkononi na kisha kuurudisha katika fuvu.
  3. Huwezi kwenda kasi zaidi ya kasi ya mwanga.
Unaweza kuendelea kutaja limitation nyingi tu. Kwa hiyo uwe unafikiri kwanza kdgo kabla ya kukurupuka.
 
Nakubaliana na Kiranga hapo juu.Ndo maana hata Yesu miujiza aliyofanya tunaishangaa,kumbe ule ni ujumbe kuwa yapo mengi sana yanayoweza kufanywa na akili zetu kama tutataka kuzitumia!
Wewe naye hebu jaribu (hapa nina maana wewe au binadamu mwingine yeyote yule) kufufua mfu tuone. Acheni utani na miujiza ya mitume na manabii. Na tangu lini wewe ndiyo umeanza kuwa mfasiri wa ujumbe wa bwana Yesu (amani iwe kwake).
 
Limitations mbona ziko nyingi sana???!!! Ni kuwa huzioni au ndio uvivu wa kufikiri (yaani inawezekana hata hiyo 10% wanayosema hujaifikia wewe). Nitakupa mifano miwili mitatu ili upate akili ndio urudi na maswali ya kitoto kama haya.

  1. Hakuna mtu anayeweza kuishi bila oxygen wala maji.
  2. Huwezi kuutoa ubongo wako mwenyewe na kuushika mkononi na kisha kuurudisha katika fuvu.
  3. Huwezi kwenda kasi zaidi ya kasi ya mwanga.
Unaweza kuendelea kutaja limitation nyingi tu. Kwa hiyo uwe unafikiri kwanza kdgo kabla ya kukurupuka.

kuna kitu gani muhimu sana ungependa kukifanya ila unakwama kwakuwa huweziishi bila Oxygen?
Wakati unajibu hilo zingatia kuwa kuna watu wanaenda anga za mbali ambako hakuna oxygen na kwakujua hilo watu wakaunda vifaa maalumu.
Kuhusu ubongo,
ungefanikiwa kuushika ubongo wako mkononi ungeufanyaje?
Swali jingine, niambie ungeweza(wewe) kwenda kwa kasi zaidi ya mwanga ungefanya kitu gani muhimu kwa ajili yako au dunia?
Usizungumzie vitu visivyo na tija bana.
 
kuna kitu gani muhimu sana ungependa kukifanya ila unakwama kwakuwa huweziishi bila Oxygen?
Wakati unajibu hilo zingatia kuwa kuna watu wanaenda anga za mbali ambako hakuna oxygen na kwakujua hilo watu wakaunda vifaa maalumu.
Kuhusu ubongo,
ungefanikiwa kuushika ubongo wako mkononi ungeufanyaje?
Swali jingine, niambie ungeweza(wewe) kwenda kwa kasi zaidi ya mwanga ungefanya kitu gani muhimu kwa ajili yako au dunia?
Usizungumzie vitu visivyo na tija bana.
Wewe si umeuliza limitations? Ulitegemea upate jibu gani?? Halafu unasema vitu havina tija, una maana Oksijeni haina tija au unajaribu kusema kitu gani. Na hao wanaokwenda hizo anga za mbali wanakwenda huko bila Oksijeni??!!!
 
Wewe si umeuliza limitations? Ulitegemea upate jibu gani?? Halafu unasema vitu havina tija, una maana Oksijeni haina tija au unajaribu kusema kitu gani. Na hao wanaokwenda hizo anga za mbali wanakwenda huko bila Oksijeni??!!!

Yaani wewe hata haujui watu wanajadili nini hapa...ama unafanya makusudi kuongea ujinga usiohusiana na jambo lililoko mbele yako.
 
Wewe si umeuliza limitations? Ulitegemea upate jibu gani?? Halafu unasema vitu havina tija, una maana Oksijeni haina tija au unajaribu kusema kitu gani. Na hao wanaokwenda hizo anga za mbali wanakwenda huko bila Oksijeni??!!!

Jiangalie wewe,
sijasema Oxygen haina tija, ila hiyo mifano yako.
Na kama kweli hiyo mifano yako inatija, jibu basi maswali
niliyokuuliza.
 
Wewe si umeuliza limitations? Ulitegemea upate jibu gani?? Halafu unasema vitu havina tija, una maana Oksijeni haina tija au unajaribu kusema kitu gani. Na hao wanaokwenda hizo anga za mbali wanakwenda huko bila Oksijeni??!!!

Angalia unapotea wewe,
sikusema Oxygen haina tija ila mifano yako.
Na kama wewe unaona inatija jibu hayo maswali niliyokuuliza.
 
Back
Top Bottom