Kyindokyakombe
Member
- May 1, 2012
- 95
- 96
Kila m2 sasa ahakikishe anawasiliana na wazee,ndg na jamaa sehemu mbalimbali na hasa VIJIJINI ili nao waamke wajue UBAYA wa CCM hatimaye watafute CHAMA kingine na si CCM.Anzeni sasa mtaona jinsi kazi ilivyo rahisi kuikomboa nchi yetu.