valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
Matokeo ya huyu bint ya form six yako wapii??
Pamoja na kuwa na ufaulu wa daraja la nne points 27,mtoto wa Mkuu wa Kaya,Mwanaasha J.K. Kikwete ameanza rasmi masomo ya kidato cha tano katika shule moja hapa jijini Dar es Salaam.
Shule hiyo ambayo haipo mbali na ile aliyomalizia kidato cha nne imempokea kutokana na shinikizo toka kwa familia nambari moja Tanzania."Mwanaasha hana haja ya kutafuta 'credits' mbili" kimenukuliwa chanzo cha habari hii.More to come...
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Ila JF ilikuwa Jf kweliHaya ndiyo matokeo ya Mwanaasha JK
S0298/0025
FMWANAASHA JAKAYA KIKWETE
27IV CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-C LIT ENG-D BIO-C B/MATH-F COMM-F