Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,798
Nikiangalia background ya hiyo picha...napata ushawishi wa kusema...mshkaji analamba LUBISI
hii sio tukuyu kweli..??
hii sio tukuyu kweli..??
Mkuu Bujibuji Mbona unawatukana watu wa Uamsho wewe ? Utakatwa kichwa.... hapa ni iringa hiyo ni pombe ya kienyeji inayoitwa Ulanzi kwa wale Watani wangu Wahehe na Wabena wanaijuwa hiyo Pombe ya Ulanzi ni tamu kasheshe kweli Pombe hii ipo kama Togwa au uji wa mahindi ..............
Hiyo ni Rungwe
Mbona anakunja ndita, kwan kalazmishwa?
Hapana. Hii sio rangi ya Rubisi. Hii itakuwa Mbege ya kule kando ya mlima Kilimanjaro.
Kama ni Tukuyu, basi hiyo itakuwa ni KOMONI
hii ni kwa rafiki zangu moshi.an
galia mandhari ya nyuma na hiyo pombe itakuwa mbege.