mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Hi Wanachama!!!
Mimi nilikuwa pamoja nanyi muda mrefu umepita. Kwenye mwaka 2006. baada ya kupotea kwa muda mrefu nilisahau Address ya kuingia katika ukurasa huu.
Mungu mkubwa leo nimefanikiwa kuipata hii kurasa. Nimefurahi sana.
Naomba Mnipokee wajameni!!!!!!!!!!!!!!
INANIUMA SANA!!!
MIZAMBWA
Mimi nilikuwa pamoja nanyi muda mrefu umepita. Kwenye mwaka 2006. baada ya kupotea kwa muda mrefu nilisahau Address ya kuingia katika ukurasa huu.
Mungu mkubwa leo nimefanikiwa kuipata hii kurasa. Nimefurahi sana.
Naomba Mnipokee wajameni!!!!!!!!!!!!!!
INANIUMA SANA!!!
MIZAMBWA