Masaningala
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 543
- 199
Mimi kwa makusudi ningeimarisha na kukuza demokrasia ya vyama vingi kwa kuongeza uwakilishi bungeni wa angalau chama tawala 55% na upinzani 45%. Lengo likiwa ni kuimarisha majadiliano bungeni. Pili, kila mwisho wa mwezi ningekuwa na tabia ya kukutana na viongozi wa upinzani ili niwashirikishe na kupokea maoni yao yahusuyo utekelezaji wa mipango ya kitaifa ya maendeleo ya nchi.