Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
This is so unfair, dudes..! Curious enough, baadhi ya wanawake hawapendi kunyonyesha watoto wao kwa madai kwamba boobs zitadondoka, sasa zikinyonywa kwa style hii sijui hakuna athari...?
mwanamke anawakilisha nchi, mwanamume anawakilisha serikali , mtoto anawakilisha wananchi na yule kibibi ni upinzani.
mwanamke anawakilisha nchi, mwanamume anawakilisha serikali , mtoto anawakilisha wananchi na yule kibibi ni upinzani.
Goosh hata cjui nisemeje huo unyanyasaji wa haki za watoto
Hivi hayo ni ya maziwa anapewa mtoto ni ya unga/ ng'ombe au huyo mama amekamua, kwani siku hizi hapa bongo wanawake wanafanya hivyo?
..mwenzio najifunza rukhsa!...Everything goes, bora kila mtu ameshiba!
Kutokana na mavazi huyo dada ni beki 4 (maid) akimhudumia baba na mwana wakati mother house ndo anarudi home na kushangaa!..mwenzio najifunza rukhsa!...Everything goes, bora kila mtu ameshiba!
wellKutokana na mavazi huyo dada ni beki 4 (maid) akimhudumia baba na mwana wakati mother house ndo anarudi home na kushangaa!
Kutokana na mavazi huyo dada ni beki 4 (maid) akimhudumia baba na mwana wakati mother house ndo anarudi home na kushangaa!
Hii inanjoo kwa mbali inaonekana kweliKutokana na mavazi huyo dada ni beki 4 (maid) akimhudumia baba na mwana wakati mother house ndo anarudi home na kushangaa!