Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Kwani SUGU Mbunge wa wapi? unadhani wapiga kura wake ni wanawake watupu?
Tabia ya kumnukuu mtu kisha uka-edit alichokiandika uiache haraka sana.
Kwani SUGU Mbunge wa wapi? unadhani wapiga kura wake ni wanawake watupu?
Hawa jamaa ni wahuni tu. Fa kawazidi kielimu, hizo ni chuki binafsi.
Acheni umbeya.
Wanaume wazima wambea ......
Kama mmoja anaondoka na team inakufa............... hiyo haikuwa team bali mwanaFA na AY East Coast Teammwana fa ni snitch tu ameiua east coast team amepewa cheo cha ukurugenzi wa kampuni ya wasanii wa clouds na sasa anaambiwa na ruge apambane na wasanii wanaharakati na hatoweza huyu jamaa anategemea elimu yake na sio mziki so anatumia nafasi hiyo kuwakandamiza wenzake wafe njaa how come msanii ulipwe laki 1. Wasanii wataendelea kukodi magari ya shouting hadi lini ni muda wa kuwakomboa wasanii sasa 26/11 ustawi wa jamii bamaga
Kwa hiyo anawawakilisha wapiga kura yake kwa yale matusi ya kiingereza cha kuunga unga......'ananchekesha'
kiingereza chake kimeungwa na nini?
according na Sugu na kundi lake linalijiita VINEGA wamemshutumu msanii wa Kizazi kipya Mwan Fa kuwa amewauza na kuchukua mill 30 toka kwa ruge mutahaba ili awasaliti na kujiunga na Tfu
kwa maelezo zaidi chech
hii
link
JOSEPH MBILINYI SUGU AKIONGELEA MWANA FA NA RUGE SIKU YA BASATA www.swahilioriginaltz.com - YouTube
Hawa jamaa ni wahuni tu. Fa kawazidi kielimu, hizo ni chuki binafsi.
Acheni umbeya.
Kwa hiyo anawawakilisha wapiga kura yake kwa yale matusi ya kiingereza cha kuunga unga......'ananchekesha'
Yaani dada uandishi wako ni "copy right" na wa bibi mmoja hivi humu wanamuitaga Faiz..sijui,
Mnafanana sana kweli, ni ndugu yako??
Yaani dada uandishi wako ni "copy right" na wa bibi mmoja hivi humu wanamuitaga Faiz..sijui,
Mnafanana sana kweli, ni ndugu yako??