Kweli Clouds wanawarusha roho!
wewe ufuasi wa CDM na CCM unakujaje hapa?Kaka akijamba anaambiwa tu, watu wengine sio watumwa wa fikra kama wafuasi wa CDM.
labda apewe viti maalumNdo maana yake na sisi ndo tumemwingiza mjengoni kama vp mwingizeni na ninyi Ruge!
wewe ufuasi wa CDM na CCM unakujaje hapa?
Sugu amewaumiza sana Clouds wanahaha kila kukicha kujisafisha lakini ndo hivyo tena maji yakisha mwagika hayazoleki.
Wangekuwa wana busara wangenyamaza kuliko wanavyo fanya sasa kujisafisha kwa kila ghalama sitoshangaa wakamleta Bi Kidude au Mzee Yusuf amponde Sugu ili wao watakasike.
Njaa mbaya Pole mwanaFA
N
badilisha avatar basi uweke ya kike manake unavyohangaika kumsafisha ruge utadhani anakuhemeagaMsanii Mwanafalsafa naye ameungana na Ruge kumchana mbunge Sugu. Huyu mbunge sasa kila mtu anamwona hamna kitu, hivi ataishije kama kila mtu anamwona ''wa hivi hivi.'' source: Clouds Fm
Kweli Clouds wanawarusha roho!
Kaka akijamba anaambiwa tu, watu wengine sio watumwa wa fikra kama wafuasi wa CDM.
Unajua komredi Ludacris kapewa $ ngapi?
Huyo Mwana FA na wabana pua wengine walilipwa kiasi gani? Utapata jibu
tupe statistics na source yakeClouds kwa kiasi kikubwa inaendeshwa na matangazo ya biashara. Sasa wewe unajua kama wadhamini wa vipindi wameondoa udhamini wao? Au unazungumzia kuumizwa gani?
tupe statistics na source yake
as i remember R1 ndio kinara 2009
and Star tv 2009
Clouds wanajiendesha kwa dhuluma wanazowafanyia wasanii na kujikomba kwa mkuu wa kaya mh.JK