Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
wadau Mwamvita chini ya md aliyepita, dietlof mare alikuwa na influence kubwa sana ndani ya voda, wengine wanasema ilifikia sasa wakawa na uhusiano wa kimapenzi, mwamvita ndo alikuwa km msemaji mkuu, event organiser, hata wale walioajiriwa kwa kazi hiyo walifunikwa, kuna tetesi za ufisadi vile vile kwamba miss tz ilikuwa ikuwa half ya cost iliyokuwa inatajwa lkn dada alipiga nusu nyingine. Kaja md mpya chini ya maagizo ya Vodafone kaona influence ya dada ni kubwa, wenzetu wana akili sana ili wasiharibu kwa kumtoa pale kavukavu, wanampeleke sauzi huko atajikuta hana hata kazi maalum atakaa kwa period flani baadaye mwenyewe anaweza akasepa akaona hapafai. So hiyo ni njia ya kumuengua kijanja