Mwamvita Makamba aula

Hiki kiingereza kama huna uhakika na uandikacho andika kiswahili chetu tuu. DULLY=BORINGLY, UNINTERESTINGLY, MONOTONOUSLY....Kwa hiyo kama ulimaanisha jema, maana yako imepotea katika kudhania utamkacho na kuandikwa ni hivyo hivyo...
Nyie ndio wapinga maendeleo msiopenda wengine wafaulu.Sasa kama akiogopa kukosea atajifunza lini????Muelekeze vizuri na kum-Encourage aendelee kujifunza hata kama anaandika broken.......Watanzania tubadilike.
 
Hiyo promosheni ni boshen tu watoto wa mjini wanasema.Huyu anaondolewa mjini hapa anakwenda kupewa desk Joberg na mtu mmoja au wawili wa kuripoti kwake then kila asubuhi awe mtu wa kuletewa magazeti.The essence ya kumwondoa ni kupunguza influence aliyokuwa nayo Vodacom TZ.
 

Mwamvita alipokwenda kumuaga Waziri Mkuu Mh. Pinda ofisini kwake wiki iliyopita....


"Friends,

On the 1st of September 2012, I will officially start a new wave of my career in Johannesburg South Africa, at Vodacom Group. I have had a great time here at home, learnt a lot and grew tremendously personally and professionally.

Thanks to all of you for the support and encouragement as I went about my daily activities here.

I will continue to keep in touch and keep sharing my various adventures whenever I go and get stories worth sharing with you.
Remember, no matter who you are or where you come from, if you dare to dream, the world is truly your centre stage.

Love,
Mwamvita"
[/QUOT

Ona mtoto wa mkulima alivyo social! Anapenda watu, rika zote
 
me too wanna tell of the same to you and him or her of the what you see and of very his poor english! why talk the wrong of what you not sure of the spelling? why? be careful and not write dully! bad bad.

duu!!unahitaji english course
 
CV yake haiwezi mwacha jobless. So hata akiachishwa I don't think it will be a catastrophe to her. Kinacho muumiza kichwa Mwamvita ni life partner tu, sio career and money!
 
kwa hiyo kaenda kwa waziri kufanya nini?
CCM iliewa shares na ANC kama asante kwa kui-suport ANC kuanzia mwanzo. Share zilizokuwa zinazagaa kwa wahuni wahuni akina Mengi and there after Rostam na wengine, ni share za CCM.

Usishangae mkuu.......unafikiri fedha za kutapanya hovyohovyo zinatoka CCM kirumba? thubutuuu!!!
 
ivi mumewe amebaki au naye amehamishiwa Sauzi? isije anamfuata mumewe ambaye ni boss VODACOM.
 
.. Hongera zake. Hivi PM hawezi kuwa na kompyuta hapo mezani, akajua hata dunia inavyokwenda? Au wasaidizi wanamwambia kila kitu! Naamini kiongozi wa leo, inabid awe karibu na wananchi wake wa mtandaoni, ambao ni vijana wenye uwezo mkubwa wa kubadili mstakabali wa nchi.
 
.. Hongera zake. Hivi PM hawezi kuwa na kompyuta hapo mezani, akajua hata dunia inavyokwenda? Au wasaidizi wanamwambia kila kitu! Naamini kiongozi wa leo, inabid awe karibu na wananchi wake wa mtandaoni, ambao ni vijana wenye uwezo mkubwa wa kubadili mstakabali wa nchi.
KUna meza nyingine upande wake wa kulia ambayo haionekani, hiyo ndiyo ina kompyuta lakini sina uhakika kama anaitumia
 
Km mjuavyo hii nchi mtoto wa rais naye ni rais. Only in tz


Kweli ukiwa mtoto wa rais hata protocali haifuatwi. Hii inaonyesha ni jinsi gani viongozi wetu wasivyoachanisha maongezi ya kikazi naya kirafiki au kindugu na umuhimu wa sehemu yanapotatikana yafanyike. Je, Mtoto wa mkulima ambaye yuko katika kampuni nyingine na mwenye wazifa kama wa huyo mama atapata kweli hata dakika 5 ya kumuona WAZIRI MKUU ili amuage?. Kama tu wanajuana kwa nini asiende nyumbani kwa waziri mkuu.
 
'Remember, no matter who you are, or where you come from, if you dare to dream, the world is truly your centre stage'-mwamvita.
Word sisy, dully noted madam.

We all have great dreams but many lack ANGELS to pull strings around!
 
Kuna e-mail ilisambaaga (wakati wa campaign 2010) ya mzungu fulani according to the e-mail wamezaa na Mwamvita akahamishiwa SA! Na kwenye ile e-mail Mwamvita alikua anaomba madolari mengi tu for January Makamba's kwa ajili ya campaign ya Ubunge na mambo kede kede!

1. Je, wazazi hawa (kama kweli) ni wazazi uzazi wao (kwa maana mahusiano) yao bado yanaendelea?
2. Kama ndio amehamishwa kwa sababu amefanya kazi nzuri hapa Tanzania au mahusiano ndio yamempeleka awe karibu na familia? Take note kasema, "I will officially start a new wave of my career in Johannesburg South Africa, at Vodacom Group. I have had a great time here at home, learnt a lot and grew tremendously personally and professionally"! What career? Why can't she succinctly tell the career she'll soon assume at Vadacom Group - SA? Kama ataendelea na career ya hapa Tanzania (kwa maana amekua promoted) she also has to tell! She has made it public, let it be public.
3. Walio VODACOM, can someone (except for the CEOs) be transferred from one country to another? CEOs hawa ndo naonaga wakiletwa inatangazwa hivyo hivyo kwa waondokao.
4. Otherwise, I wish this daughter of Makamba the best in her career and life......
 
Hiki kiingereza kama huna uhakika na uandikacho andika kiswahili chetu tuu. DULLY=BORINGLY, UNINTERESTINGLY, MONOTONOUSLY....

Kwa hiyo kama ulimaanisha jema, maana yako imepotea katika kudhania utamkacho na kuandikwa ni hivyo hivyo...

Amekosea kuweka hiyo L moja vingine yuko sahihi. Kiingereza siyo lugha yetu jamani, mwenzio akikosea mkosoe tu huna haja ya kumwambia hajui analoandika. Ni mtazamo tu
 
I hope the handlers extend all the way to SA, otherwise I shudder. A debacle ensuing.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom