Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,220
- 370
........Siogopi wala sijiumiumi nitawaambia ukweli, nyinyi ndio chimbuko la Matatizo ya Tanzania na Kikwazo cha Maendeleo ya Taifa letu..........
.....Kabla hamjaharibu sana, jiulizeni ni kitu gani mnachfanya ambacho kimemfanya Mchungaji aanze kuwaongelea tena!
SAFI,
Wakati wa kupigania Uhuru wa nchi za kusini mwa afriaca nadhani kulikuwa na wazalendo na wawajibikaji kwa manufaaa ya taifa letu, na baaada ya awamu ya kwanza kutoweka kwisha habari yao sijui waliingiliwa na mdudu gani?
Nadhani kuna madudu humo ndani "TISS" na kulindana kwa maovu yao ili yasije toka nje, Nchi hii jamani sio ya wote ni ya watu wachache mkae mkijua hilo.
Pili na uhakika ndani ya TISS kuna mparaganyiko mkubwa sana na hakuna mawasiliano mazuri kuna walio nunuliwa na hilo kundi la watu wachache na kuliongoza taifa na wale wasio nunulika na hawana nguvu wao wamo tu wame piga kimya huku wakiomba dua kwa Mungu mambo yalipuke na ndio watatuambia ni fulani na fulani waliokuwa mstari wa mbele kulipeleka taifa jinsi watakavyo.
Juzi nilikuwa na check USA White House Organization Chat yao duuuuuh security i mean swala la usalama kwao ni kitu cha msingi na kina kipaumbele kwa mfano taasisi kama DOJ inashirikiana vyema na DOD na DHS sasa hapa kwetu duuuh sijui hata kama izo taasisi zipo? na kama zipo basi ni za kisiri sana na zafanya kazi kwa matakwa ya kundi fulani la watu wachache.
tatu mkitaka nchi isonge mbele hapa ni lile wazo la Majimbo na ndipo hapo mtaona uongozi bora na uwajibikaji na ufanisi wa hizi taaasisi wawakirishi kutoka majimboni wakikutana kwa vikao maalumu watu hawatotaka mchezo bwana watakuwa wametumwa toka majimboni mwao na viongozi wengi watakuwa responsible kwa majimbo yao kwani wanajua wakichemsha tu there out.
Kwa uongozi huu wa ujumla kuwa waziri na watumishi wengine mwafanya kazi kwa pamoja ni kukanganyana tu hapa