che-guavara
Member
- Jul 6, 2011
- 58
- 22
Mwamko wa Biashara miongoni mwa watanzania wengi bado ni tatizo. tatizo hasa liko wapi, na ufumbuzi wake uweje? mi ntajaribu machache lakini wengi tunaweza tukashirikiana majibu na utekelezaji wake kwenye maeneo tunayoishi na jamii tunazoishi nazo tukawa na mijada midogo in the form of community meetings kuona jinsi gani tunaweza kuchangia mawazo yetu kupitia mawazo tutakayopata kupitia thread hii.
changamoto
1. biashara inaonekani si ajira bali ni kitu cha kufanya kwa waliokosa kazi za maofisini
2. kufanya biashara ni kazi ya watu wajanja wajanja decent people hawatafanikiwa
3.wanaoweza biashara ni watanzania wa-asia si kazi ya watanzania (weusi)
4. kufanikiwa basi kwanza uwe mwizi mwizi, zulumati, usiwalipe vizuri wanao kusaidia, n.k
5. biashara ni uchuuzi tu sio kilimo,ufugaji au ujenzi
6. huo mtaji unatoka wapi?
cha kufanya.
1. kuwe na mijadala midogo ngazi za wakazi wa mtaa au kila kitongoji, miji, wilaya na kanda kuangalia namna ya kujikwamua
mwisho.
>msomaji wa thread hii uchukue jitihada za kuwaelimisha na wengine pia wasomaji hapa great thinkers .naomba kutoa hoja
changamoto
1. biashara inaonekani si ajira bali ni kitu cha kufanya kwa waliokosa kazi za maofisini
2. kufanya biashara ni kazi ya watu wajanja wajanja decent people hawatafanikiwa
3.wanaoweza biashara ni watanzania wa-asia si kazi ya watanzania (weusi)
4. kufanikiwa basi kwanza uwe mwizi mwizi, zulumati, usiwalipe vizuri wanao kusaidia, n.k
5. biashara ni uchuuzi tu sio kilimo,ufugaji au ujenzi
6. huo mtaji unatoka wapi?
cha kufanya.
1. kuwe na mijadala midogo ngazi za wakazi wa mtaa au kila kitongoji, miji, wilaya na kanda kuangalia namna ya kujikwamua
mwisho.
>msomaji wa thread hii uchukue jitihada za kuwaelimisha na wengine pia wasomaji hapa great thinkers .naomba kutoa hoja