Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #21
sijui wewe tukuite mtu wa rangi gani? mix.............. au hizo ni makeups?
umependeza mwayego
Thank you Fixed Point
Last edited by a moderator:
sijui wewe tukuite mtu wa rangi gani? mix.............. au hizo ni makeups?
umependeza mwayego
Unaliwa!?
Huyu kamzidi hata Chesko matunda wa Afrika Sana! Huyu anatakiwa aitwe PAPA MAVEJI aka Mbogamboga.
Picha yako yanifanaya niawaze afya njena (kwa kukula wewe Vegwallah) hasa katika huu uzee wangu=more geens will make you live longer;-).
Kwa wale wasionijua na wale ambao walikuwa na hamu ya kunifahamu huyu ndie Young Master orginal...wengine wote photocopy...!!! Mwenye swali au maoni anakaribishwa ila vigezo na masharti kuzingatiwa.
Kumbe Young Master unaliwa? Ngoja niwaite wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho tuje tukukule kwa pamoja.
Mkuu nimeipenda sana, naomba uniruhusu niitumie kama avatar yangu.Kwa wale wasionijua na wale ambao walikuwa na hamu ya kunifahamu huyu ndie Young Master orginal...wengine wote photocopy...!!! Mwenye swali au maoni anakaribishwa ila vigezo na masharti kuzingatiwa.
Mkuu nimeipenda sana, naomba uniruhusu niitumie kama avatar yangu.
Kumbe Young Master unaliwa? Ngoja niwaite wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho tuje tukukule kwa pamoja.
Waweja getegete Ngosha.permission granted mkuu.
Waweja getegete Ngosha.
Khaaa! Na cacico na BADILI TABIA nao wako radhi kumkula? Mtatumia vijiko au vidole?My hubby huyu tutamla uzuri kweliiii anavutia sana kuliwa aseee
Kumbe Young Master unaliwa? Ngoja niwaite wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho tuje tukukule kwa pamoja.
Khaaaaaaaaaaaaaaaaa!! Wife punguza umbea kiduchu...Khaa!!ndo maana naniliu alikumwaga loh....
he he he he ulitaka nibaki na chakula halafu??? we umeona mtu analiwa halafu nikae naye, aku mie! nimejiendea zangu kwa babu, ananipaje vitu sasa?? napahawaje sasa?? Asprin wangu mi luv u! mwahhhhh!ndo maana naniliu alikumwaga loh....
hubby halafu si umetukanya kuwa wambeya! we fellow wife, suna basi khaaaaaa!Khaaaaaaaaaaaaaaaaa!! Wife punguza umbea kiduchu...Khaa!!