Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,393
"Mwambie yule rafiki yako asipende kunizoea, mwambie mimi siyo Malaya. Yaani mtu anajidai wewe ni rafiki yake, halafu anakuja kunitongoza…………!"
Hebu tuchukulie kwamba kauli hiyo anaitoa mkeo au mpenzi wako………………Je wewe utachukuwa hatua gani………….?
Hebu tuchukulie kwamba kauli hiyo anaitoa mkeo au mpenzi wako………………Je wewe utachukuwa hatua gani………….?