..I never knew about this.
..hivi kuna wana-Historia wanaoweza kutuhabarisha zaidi kuhusu matukio kama haya ktk maeneo mengine ya Tanganyika.
..hivi kuna wana-Historia wanaoweza kutuhabarisha zaidi kuhusu matukio kama haya ktk maeneo mengine ya Tanganyika.
Askofu Mwamasika said:Kanisa likiona watu wanataka kurudi kwenye utumwa katika nchi yao lazima liseme, nawataka wanasiasa waelewe kwamba hata utumwa katika nchi hii pale Bagamoyo haukuondolewa na wanasiasa, utumwa uliondolewa na wamisionari waliokuja kufundisha neno la Mungu, tena walifanya mambo ya ajabu kwa kununua watumwa kwa fedha zao ili waachiwe huru, na wao wakaenda kuwafundisha kusoma na kuandika na baadaye wakawa maketekista waliorudi kufundish watu, lazima tujue historia,