Kirefu cha R.I.P plz!
Mwalimu wa Nyerere, James Irenge, amefariki dunia muda mfupi uliopita hapa Musoma. Itakumbukwa kwamba Mwalim Irenge hivi karibuni alimuunga mkono Mh.Vicent Nyerere juu ya tuhuma za kifo cha Mwalim Nyerere kuwa kilisababishwa kwa makusudi na Mhe. Mkapa.
Uamsho wenzako wapo Jela we bado upo Uraiani?Ikiwa huyo Mwalim ana mawazo namna hiyo, si hasha mwanafunzi wake kuipeleka nchi kwenye lindi la umaskini.
Kirefu cha R.I.P plz!
Ikiwa huyo Mwalim ana mawazo namna hiyo, si hasha mwanafunzi wake kuipeleka nchi kwenye lindi la umaskini.