Mwalimu wa mathematics graduate

Wewe unaona haifai lkn tunashukru mungu watanzania wamejitokeza wengi na tumempata lengo ni kuwasaidia hawa vijana wa kitanzania
 
What I know from my experience in teaching this subject exercise lazima utoe kila kipindi unachoingia  darasani na usahihishe hiyo exercise na ufanye masahihisho kabla ya kipindi kipya kwani hesabu tunajifunza kutoka simple to complex sasa ebu tuangalie leo hii Tanzania nani anafanya haya nimeona walimu wengi sasa wanafundisha hesabu kwa kutumia lecture method mwanafunzi ataenda kukumbana na maswali wakati wa mtihani bila kujua kama concept flani ilieleweka au vipi.Because mathematics is nothing but it is a bag full of techniques kwa hiyo several times mwanafunzi inatakiwa agundue techniques hizo kwa kupewa maswali na kuona where is mistake and why?Sasa unasoma hesabu kama gazeti unategemea nini na walimu hawafanyi haya kwa vile wanalipwa kidogo bora liende.Nilifanya shule moja ya private niliwapa masharti ya mshahara kwamba watanilipa kutokana na kazi nayofanya walinilipa kweli hiyo pesa baada ya miezi kumi wakasema hawana uwezo wa kuendelea kunilipa pesa hiyo.Mwezi uliofuata nikawaaga wakapata mwalimu anayetoa lecture notes waliona impact yake.Wakanipigia tena simu niende watanilipa hiyo hela nikawajibu sasa sipo kwenye huo ulimwengu nipo sector nyingine.Kwa hiyo watu wajue walimu wa hesabu siyo kwamba hawapo wapo wengi but ili somo linahitaji kuwa serious kwa hiyo kupata mwalimu siyo shida sida ni je atafundishaje?Form four asilimia kubwa wanapata F ili somo na wanafundishwa wanakava syllabus what is the problem they are poor in solving tecniques that where problem starts

Walikuwa wanakulipa ngapi ambayo ulikubaliana nao mkuu?
 
By the way mfanyakazi huwezi kusema uchukue hela yote uliyoambiwa kunakodi ya pay as you earn hiyo lazima ulipe kuna mifuko ya hifadhi ya jamii ingawa watu wengi wanaona haina umuhimu lakini ni uelewa finyu tu mwajiri hapo umempa ulaji bila wewe kujua kwani asilimia yako kumi ambayo anatakiwa akulipie umeikosa.Kwa hiyo hapo hiyo kilo sita wakiikata kwishen unabaki na ele ya hand to mouth.Watanzania wenzangu ishu ya nchi hii si kutegemea kazi san what is needed is to be creative and current with different opportunities.
 
Nilikuwa na madarasa mawili form one walikuwa 60 na form two walikuwa 50.Makubaliano yalikuwa kila siku natoa exercise nasahihisha kwa madarasa yote mawili.Kila week natoa test nasahihisha hiyo nalipwa kwa kila script 400 ilikuwa mwaka 2009,Jumamosi nikienda kufundisha nalipwa 30,000/= ambayo ni 2 hrs always one hrs kwa kila darasa,House allowance nilikuwa napewa 65,000?= kwa mwezi.Mshahara nilikuwa nalipwa kama ilivyo rate ya sasa ya TGTS E.10 kama we ni mwalimu utaijuwa hii ni sawa na sh ngapi ni muhimu sana kuijuwa ili uweze kubargain vizuri na anayetaka kukuajiri.Mitihani yote.Kwa vile nilikuwa bachelor ilinitosha ningekuwa na familia aisee ingekuwa nothing lakini nashukuru nilipata mtaji wa kutimiza malengo yangu ya muda mrefu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom