Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Muda huu napitia pitia hoja mbalimbali JF huku nasikiliza radia mlimani fm,
Kuna habari imetangazwa kuwa ..maenea ya Kibada Kigamboni, mwalimu mmoja wa Madrassa anaeitwa Saidi Ramadhani anashikiliwa na jeshi la polisi Temeke kwa kumlawiti mwanafunzi wake wa kiume ambaye pia ni mwanafunzi wa darasa la pili!!
Jamani nchi yetu inaelekea wapi!! mtu anawafundisha watu dini huku anawalawiti! ah!! nchi hiikina jk wanatusumbu na mijitu mingine pia inaonyesha Ushetani wa ajabu!! mtoto wa darasa la pili!! lawisheni!!
Kuna habari imetangazwa kuwa ..maenea ya Kibada Kigamboni, mwalimu mmoja wa Madrassa anaeitwa Saidi Ramadhani anashikiliwa na jeshi la polisi Temeke kwa kumlawiti mwanafunzi wake wa kiume ambaye pia ni mwanafunzi wa darasa la pili!!
Jamani nchi yetu inaelekea wapi!! mtu anawafundisha watu dini huku anawalawiti! ah!! nchi hiikina jk wanatusumbu na mijitu mingine pia inaonyesha Ushetani wa ajabu!! mtoto wa darasa la pili!! lawisheni!!