Mwalimu Vs Mwanafunzi

ENZO

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
4,242
1,736
MWALIMU: baba yako akikopa 5,000/= kwenye duka la mangi halafu akaenda kukopa tena 5,000/= kwenye dula mpemba, wakati wa kurudisha kwapamoja atarudisha sh. ngapi?
MWANAFUNZI: Hatarudisha ki2.
mwalimu akajua mwanafunzi hakulielewa swali akarudia tena kuuliza swali lkn mwanafunzi akajibu vilevile! "hatarudisha ki2"
MWALIMU: kaa chini we hujui ki2.
MWANAFUNZI: We ndio humjui baba yangu akikopa huwa harudishi.

HERI YA MWAKA MPYA
PPBW.
 
Mwalim: nkikupa maandazi 6 ukala ma3 yatabaki mangapi?
M'funzi: km utanipa na mchuzi sibakishi hata 1
 
MWALIMU: baba yako akikopa 5,000/= kwenye duka la mangi halafu akaenda kukopa tena 5,000/= kwenye dula mpemba, wakati wa kurudisha kwapamoja atarudisha sh. ngapi?
MWANAFUNZI: Hatarudisha ki2.
mwalimu akajua mwanafunzi hakulielewa swali akarudia tena kuuliza swali lkn mwanafunzi akajibu vilevile! "hatarudisha ki2"
MWALIMU: kaa chini we hujui ki2.
MWANAFUNZI: We ndio humjui baba yangu akikopa huwa harudishi.

HERI YA MWAKA MPYA
PPBW.

dah madogo wa siku iz noma aisee.
walimu wana kazi tena ya ziada jaman mmh.
kudeal na kizaz iki mmh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom