Hahaha! haujatulia weye.Angalia mwenye mshahara mkubwa
Hii naona imekaa ki-joke zaidi,kuna ile joke kati ya mwalimu na nesi utaoa nani ? jibu nitaoa mwalimu tukikosea kitu kwenye 6 * 6 anahakikisha mnarudia mpaka mpatie.
Hahaha! haujatulia weye.Angalia mwenye mshahara mkubwa
<br />Wana JF naombeni ushauri wenu kati ya hawa (mwalimu,nesi) ni yupi anafaa kuoa? & why?
Sijakuelewa..kama sikosei huyu ni mchumbaako tu..sasa hii habari ya mablanket inakujaje hapa?....au mnamegana kisela...wewe komaa naye tu...nawapenda kwa sbb ya vimini vyao!<br />
<br />
Muda huu naandika hii thread yupo job. Napigwa na barid mbaya mablanket hayanisaidii. We unasema sio issue
Profession haina nafasi sana maadam mnapendana.......ila watu wengi wanapendelea walimu eti ni walezi wazuri tofauti na manesi ambao kazi yao inawaweka katika mazingira "hatarishi"Siyo ivyo wanajamii mm nina mchumba ambaye ni nesi ila izi shift zake za night zinaniboa kweli. Na ndo maana nikaomba msaada wenu au ni mtafute teacher
Ahahahahaaah!!! Mkuu kumbe vimini vya manesi vinakudatisha...<font size="3">Sijakuelewa..kama sikosei huyu ni mchumbaako tu..sasa hii habari ya mablanket inakujaje hapa?....au mnamegana kisela...wewe komaa naye tu...nawapenda kwa sbb ya vimini vyao!</font>
<br /><font size="3">Sijakuelewa..kama sikosei huyu ni mchumbaako tu..sasa hii habari ya mablanket inakujaje hapa?....au mnamegana kisela...wewe komaa naye tu...nawapenda kwa sbb ya vimini vyao!</font>
<br /><span style="font-family: book antiqua"><font size="4">Kwani unaoa kazi zao!? Si unamuoa yule uliyempenda kimaumbile na tabia zake pia unaziona zinaendana na maadili yako? au ni aje Mkuu?</font></span>
Why teacher na sio an accountant or secretary ect...Siyo ivyo wanajamii mm nina mchumba ambaye ni nesi ila izi shift zake za night zinaniboa kweli. Na ndo maana nikaomba msaada wenu au ni mtafute teacher
Siyo ivyo wanajamii mm nina mchumba ambaye ni nesi ila izi shift zake za night zinaniboa kweli. Na ndo maana nikaomba msaada wenu au ni mtafute teacher
<br />kwa nini usiseme utafute mwingine, unasema utafute teacher?
Wote wanafaa.Wana JF naombeni ushauri wenu kati ya hawa (mwalimu,nesi) ni yupi anafaa kuoa? & why?