Wana JF naombeni ushauri wenu kati ya hawa (mwalimu,nesi) ni yupi anafaa kuoa? & why?
Wana JF naombeni ushauri wenu kati ya hawa (mwalimu,nesi) ni yupi anafaa kuoa? & why?
<br />Kwani unataka kuoa au unahitaji tuwachambue 2 hapa jamvini???
Siyo ivyo wanajamii mm nina mchumba ambaye ni nesi ila izi shift zake za night zinaniboa kweli. Na ndo maana nikaomba msaada wenu au ni mtafute teacher
<br />Na mkuu hapo ni wewe. Kama unampenda hizo shifti zake sio issue kwako
<br />Wana JF naombeni ushauri wenu kati ya hawa (mwalimu,nesi) ni yupi anafaa kuoa? & why?
<br /><br /><br />
<br /><br />
una umri gani?
<br />
<br />
Muda huu naandika hii thread yupo job. Napigwa na barid mbaya mablanket hayanisaidii. We unasema sio issue