Hata kama kumeshakucha wacha nimfunike walau alale kidogo,ni hivi mfumo wao uko tofauti kidogo na shule nyingine ambapo mwaka unaisha december,kwa wa kwangu mwaka unaisha august,yeye mwezi huu wa September ndio anaingia darasa la saba,nadhani utakuwa umenielewa au mpaka hapo bado unaniambia it's still too late.Mkuu unakumbuka kumfunika mwanao kukiwa kushakucha? Kwa sasa siku zimebaki chache sana mpaka national