Kumbukumbu inanionyesha kwamba baada ya Mwl. Kung'atuka urais 1984 aliendelea kua mwenyekiti wa chama hadi mwaka 1999 ndio akaachia Uenyekiti kwa bwana Mwinyi, baada ya hapo ndo kwanza na azimio la Arusha likahifadhiwa katika nyumba ya milele(likazikwa)na hapo matatizo yalipoanzia, Me nadhani kuna haja kabisa ya hawa waumini wenzangu wa CCM kukubali kutenganisha Uenyekiti wa Chama na Urais ili angalau Rais na Watendaji wake wawe na Mtu au sehem ya kuwakemea, nadhani kashfa zinazoendelea sasa hivi ilitakiwa watu wawajibishwe kwani mie naona mambo yako wazi sana na kila mwananchi anona.
Naomba unikosoe mkuu ili nijifunze toka kwako
FM ES,Sio unafiki pekee bali hata ubazazi na ukosefu wa shukrani wa kiwango cha juu.Katika wote huyu bwana ndio hasaa aliyetakiwa kuonyesha wazi kufuata kwa vitendo aliyoasisi Mwl. Kama wapigakura wengi walidhani kua huyu ni Ken M beki wa Yanga bila mwl kumuuza nani angenunua "hiyo bidhaa?'Nasikia hata pale Ikulu watu wali "toast" baada ya kifo chake. Hakuna cha kushangaza.
Coming from you mkuu, na yanayoendelea sasa hivi, I believe it!
thank you kwa hili, now check this out:-
Rais Mkapa, amesema leo kuwa serikali yetu itatumia kila senti hadi ya mwisho kuhakikisha kuwa Mwalimu anazikwa kwa heshima kubwa anyostahili kupewa na taifa letu. Rais pia aliatangaza usimamishaji wa matumizi ya pesa za serikali kwa shughuli zozote za nje hadi baada ya mazishi ya Mwalimu.
What a unafiki, yaani unafiki tu umetujaaa!
Na hapo ndio wakati ambao pamoja na mengi anayofanya kutetea katiba walimuona mwehu,hata kama alikuwa na chuki naye ,haikuwa wakati muafaka kuropoka aliyosema.usimsahau na mtikila na alioyasema kuhusu mwalimu
TUTADUMISHA UMOJA KWA NGUVU ZOTE-MKAPA