Mwalimu Nyerere: "...Ningekuwa na uwezo ningeitupa Zanzibar Baharini"

Mkuu, kama lugha ya kiingereza imekupiga chenga, ni vema usichangie. Kwani jiografia unayoijua haikuelekezi kwamba vipo visiwa vinavyokaliwa na watu katikati ya bahari? So even if he said I'd tow Zanzibar into the middle of the Indian ocean, he didn't mean he wanted to eliminate it from the surface of the earth.

Hivyo unafikiri hakuna Waingereza wasio na akili hivyo wasiweze kuamua context ya jambo? Pengine wewe huna tatizo la lugha lakini una taitzo la kufahamu maana ya kinachozungumzwa. Hivyo ipo haja ya yeye kuumizwa kichwa na kitu kisichomuhusu? kimbelembele chake ndicho kinacholeta matatizo haya yanayoonekana na utatuzi wake ni mdogo tu. To maintain the existing distance badala ya kukivamia hichi kisiwa.
 
muungano unafaida kwao na sio huku bara lakini wanaonza chokochoko ni wao muungano hautusaidii chochote bara kwa sasa tanzama viongozi walioko bara wanatoka kwao angalia fursa za kibiashara wabara wanachomewa hata mabanda ya makuti


Nashangaa huoni logic ya mambo haya. Hivyo ungekuwa wewe umeletewa majumba ya ghorofa na mgeni ungeyayachoma? Na nini faida ya mgeni anayeleta vibanda vya makuti ambavyo hata kwao havitakiwi?
 
Kama Zanzibari ihapo awali ilikuwa hivyo mnavyodai, naamini kabisa kabisa msingekubali kuungana, kwani tuliwavamia kijeshi? Hebu tuangalie jumla ya safari za Nyerere na Karume, ni yupi aliekuwa anaonoza kwa safari za kuelekea upande wa Mwenzake?
Hamjawahi kuwa imara kwa kiwango mnachojaribu kujionyesha...........Ila msijali, muungano ni kama umeshafika katika finishing line, in time you will see the and te rea picture.

Unaonyesha jinsi ulivo kadogoo kijana. Hivyo una wasiwasi na hayo unayoambiwa? Basi waulize wale waliokuwa karibu na Zanzibar (kwani wengi wenu hata wenye umri mkubwa walikuwa wakiisikia tu zanziba)
Kadogoo unauliza iwapo kulikuwa na nguvu? Si uone mwenyewe sasa hivi namna Tanganyika inavyoingangania Zanzibar? unafikiri kama hili jambo lingekuwa la hiyari tungefikishana kwenye matusi na masimangano?
 
Kupotosha maanani kati ya mambo wanayoweza wakayafanya kwa usahihi wa hali ya juu kabisa.
Ni ngumu sana kwa mnafiki kukubaliana na ukweli hivyo tuwapuuze na kuwasamehe tu hawa watu, maneno ya kuzusha na kujifanya wapo juu ni moja ya mambo ambayo yanawaongezea afya ya mwili hivyo tuwavumilie, ingawa wanazidi kujilimbikizia ujinga, lakini tutafanyeje wakati na ni wenzetu na uhai ndiyo jambo la msingi?

Hivyo hamjuwi ukweli kwa mafisadi mbona hanyamazi kimya kwa hili na kuacha kuwa maadam ni kweli?
 
Wazanzibari mctafute sababu za kujitenga kwa kisingizio ya kuchukiwa kwa misingi ya din,MUNGU 2NAKUOMBA HAWA WAZENJI WAJITENGE wajifunze kwa matendo,pia itatusaidiwa Watanganyika kupata wafanyakazi wa bei nafuu.Tatizo hapa wazenji mnawatumania sana wajomba(waarabu)
Zanzibar haina tatizo na dini zenu bali ina tatizo na haki ya kuujiamulia mambo yake.
Pengine labda juwa litatoka magharibi. Kwa sasa hilo unaloomba naona liko kinyume na unavyotaka wewe.
 
Hivi aliyekuja kumshitaki Jumbe kuwa anataka kuvunja muungano alikuwa Mbara? na huyu jamaa alifanya haya yote sasa hivi ni lulu huko Zanzibar. Uelewa wenu wazanzibar ni mfinyu saana, na haya yote ni kukosa ilimu, ndo maana mnajisemea tu, na sijui hivi mkikutana huko Zanzinet, sijui mnaongea nini? maana wote mnafikiri kwa masaburi

Kwani huko Bara hakuna kina Sitta vs Lowassa na wote ni wabunge waliochaguliwa na kwenye uchaguzi uliokuwa na wapinzani?
 
habari ndiyo hiyo; kinachotuchelewesha wazanzibari kufanya maamuzi yetu ni huu muungano; ukishavunjika tu, tunajiunga na OIC na nchi inakuwa ya kiislaam rasmi!
 
Kwani ni Zanzibar tu ndiyo iliyokuwa ikitawaliwa? Umesahau nchi za mastari wa mbele? Na kwanini aichukue Zanzibar kama ardhi tu bila ya kufikiri kuwa kuna watu ambao wangeweza kupambana kama alivyosaidia mapambano ya makaburu waliokuwa na nguvu nyingi au Wareno kama taifa kubwa? Tangu na mwanzo huyu Babu alikuwa na lake kwa Wazanzibari.
Zanzibar ilikuwa sehemu ya Afrika Mashariki na usingeweza kuikomboa Zanzibar bila kuzihusisha Bara na Kenya kwa sababu sehemu za Pwani pia zilikuwa part of Utawala wa Sultan...Hivyo iolikuwa Muhimu sana kwa utawala utakaoingia Zanzibar uwe na makubaliano ya nchi hizi. Ndio maana Shamte alikimbilia Kenya kwa Kenyatta na kukata naye deal la kuwapa Mombasa, Lamu na Malindi wakati huku akiliweka gubu na Bara kwa sababu ya kina Karume..

Halafu sidhani kama Nyerere alihusika na Mapinduzi ya zanzibar isipokuwa Umma Party wakishirikiana na baadhi ya leftwing toka ASP ndio haswa walihusika na ndio maana Nyerere, Kenyatta, CIA na hata utawala wa Malkia walihofia Zanzibar kuwa nchi ya Kikomunist baada ya Mapinduzi. Wakacheza karata zao kuwaingiza mkenge Umma Party..Kati ya Mapinduzi na kuundwa kwa Muungano watu wengi waliuawa, wananchi wengi walipoteza maisha yao na wengine hata kufungwa na ndugu zao kwa sababu ya uhasama mkubwa ulokuwepo baina yao.

Kipande hiki kipande kidogo kina historia kubwa na chafu sana, na watu wengi sana hawakifahamu na pengine wanakipuuzia lakini ni muhimu sana kupata kuizungumzia Zanzibar na threat iliyokuwepo baina wananchi wenyewe tofauti kabisa na Uhuru wa nchi nyinginezo ambazo ilikuwa rahisi kuegemea chama ama upande mmoja.

Halafu, leo Mzanzibar anaona fahari kubwa kujitambulisha kama Mzanzibar na sio Mtanzania na kapewa bunge, rais, makamu wa rais na mawaziri wake kiasi kwamba JK na waziri mkuu hupokelewa kama mgeni lakini Mwinyi, Karume, Salim, na sasa hivi Shein ni viongozi wa Tanzania nzima na wanaheshimika hadi watoto zao huoni kama Wazanzibar ni watu msiotosheka hata kama wakipewa pepo!
Viongozi wote wa Zanzibar wana historia kubwa bara lakini nambie kiongozi hata mmoja wa bara ambaye Zanzibar watamuenzi hata kwa dogo zuri?...Mnakuwa watu msokuwa na shukran, umaskini wa roho basi umefikia hata ktk matamshi yenu...
 
Zanzibar ilikuwa sehemu ya Afrika Mashariki na usingeweza kuikomboa Zanzibar bila kuzihusisha Bara na Kenya kwa sababu sehemu za Pwani pia zilikuwa part of Utawala wa Sultan...Hivyo iolikuwa Muhimu sana kwa utawala utakaoingia Zanzibar uwe na makubaliano ya nchi hizi. Ndio maana Shamte alikimbilia Kenya kwa Kenyatta na kukata naye deal la kuwapa Mombasa, Lamu na Malindi wakati huku akiliweka gubu na Bara kwa sababu ya kina Karume..

Halafu sidhani kama Nyerere alihusika na Mapinduzi ya zanzibar isipokuwa Umma Party wakishirikiana na baadhi ya leftwing toka ASP ndio haswa walihusika na ndio maana Nyerere, Kenyatta, CIA na hata utawala wa Malkia walihofia Zanzibar kuwa nchi ya Kikomunist baada ya Mapinduzi. Wakacheza karata zao kuwaingiza mkenge Umma Party..Kati ya Mapinduzi na kuundwa kwa Muungano watu wengi waliuawa, wananchi wengi walipoteza maisha yao na wengine hata kufungwa na ndugu zao kwa sababu ya uhasama mkubwa ulokuwepo baina yao.

Kipande hiki kipande kidogo kina historia kubwa na chafu sana, na watu wengi sana hawakifahamu na pengine wanakipuuzia lakini ni muhimu sana kupata kuizungumzia Zanzibar na threat iliyokuwepo baina wananchi wenyewe tofauti kabisa na Uhuru wa nchi nyinginezo ambazo ilikuwa rahisi kuegemea chama ama upande mmoja.

Halafu, leo Mzanzibar anaona fahari kubwa kujitambulisha kama Mzanzibar na sio Mtanzania na kapewa bunge, rais, makamu wa rais na mawaziri wake kiasi kwamba JK na waziri mkuu hupokelewa kama mgeni lakini Mwinyi, Karume, Salim, na sasa hivi Shein ni viongozi wa Tanzania nzima na wanaheshimika hadi watoto zao huoni kama Wazanzibar ni watu msiotosheka hata kama wakipewa pepo!
Viongozi wote wa Zanzibar wana historia kubwa bara lakini nambie kiongozi hata mmoja wa bara ambaye Zanzibar watamuenzi hata kwa dogo zuri?...Mnakuwa watu msokuwa na shukran, umaskini wa roho basi umefikia hata ktk matamshi yenu...

Kwani siye Nyerere alietaka kukawiza uhuru wa Tanganyika ili aunganishe Afrika Mashariki? sasa kwanini iwe zanzibar itupwe kati ya bahari? Ama hili la zanzibar kum,iliki sehemu za pwani halikuwa kwa Mombasa tu bali hata sehemu za pwani yab Tanganyika sasa kwanini hii notion ya kuipeleka mbali zanzibar?
Inachoshangaza ni kuwa Tanganyika ilizungukwa na tawala zilizokuwa korofi lakini kauli ya kuihamisha Nchi kwenye ramani ije kwa Zanzibar tu?
 
Zanzibar ilikuwa sehemu ya Afrika Mashariki na usingeweza kuikomboa Zanzibar bila kuzihusisha Bara na Kenya kwa sababu sehemu za Pwani pia zilikuwa part of Utawala wa Sultan...Hivyo iolikuwa Muhimu sana kwa utawala utakaoingia Zanzibar uwe na makubaliano ya nchi hizi. Ndio maana Shamte alikimbilia Kenya kwa Kenyatta na kukata naye deal la kuwapa Mombasa, Lamu na Malindi wakati huku akiliweka gubu na Bara kwa sababu ya kina Karume..

Halafu sidhani kama Nyerere alihusika na Mapinduzi ya zanzibar isipokuwa Umma Party wakishirikiana na baadhi ya leftwing toka ASP ndio haswa walihusika na ndio maana Nyerere, Kenyatta, CIA na hata utawala wa Malkia walihofia Zanzibar kuwa nchi ya Kikomunist baada ya Mapinduzi. Wakacheza karata zao kuwaingiza mkenge Umma Party..Kati ya Mapinduzi na kuundwa kwa Muungano watu wengi waliuawa, wananchi wengi walipoteza maisha yao na wengine hata kufungwa na ndugu zao kwa sababu ya uhasama mkubwa ulokuwepo baina yao.

Kipande hiki kipande kidogo kina historia kubwa na chafu sana, na watu wengi sana hawakifahamu na pengine wanakipuuzia lakini ni muhimu sana kupata kuizungumzia Zanzibar na threat iliyokuwepo baina wananchi wenyewe tofauti kabisa na Uhuru wa nchi nyinginezo ambazo ilikuwa rahisi kuegemea chama ama upande mmoja.

Historia chafu ipi ambayo utaihusisha Zanzibar bila ya kuigusa Tanganyika? Kama ni utumwa basi ni machifu wa Tanganyika waliowaleta ndugu zao kuuzwa na kama ukabila basi umeletwa na wahamiaji wa kutoka Bara waliojiita Waafrika. Washirazi hawakupendelea ukabila ulioletwa na waliojiita Waafrika waliotoka Tanganyika na Muungano wa Afro Shirazi ulipingwa na Washirazi wengi waliokuwa wamesoma na Karume aliwahadaa mbumbumbu kina Thabit Kombo.

Halafu, leo Mzanzibar anaona fahari kubwa kujitambulisha kama Mzanzibar na sio Mtanzania na kapewa bunge, rais, makamu wa rais na mawaziri wake kiasi kwamba JK na waziri mkuu hupokelewa kama mgeni lakini Mwinyi, Karume, Salim, na sasa hivi Shein ni viongozi wa Tanzania nzima na wanaheshimika hadi watoto zao huoni kama Wazanzibar ni watu msiotosheka hata kama wakipewa pepo!

Sasa unafikiri kuitwa Mtanzania kutaondowa mtu kuw Mzanzibari? Kwani Mchaga anaekuja au kuzaliwa Dar es Salaam ataacha kujiona Mchaga? Wacha Kasumba ndugu yangu na hii ndiyo inakyufanyeni msijijuwe kuwa Watanganyika lakini huu ni uongo mtupu kwani si keshokutwa mnasherehekea miaka 50? sasa tuseme toka muwe Watanzania mwaka 1964 miaka 50 imeshatimia? Tatizo lenu wenzetu si wakweli wa nafsi zenu wala kauli zenu, unawasemaje Wazanzibari kwa kujinasibisha Uzanzibari nanyi mnasherehekea sherehe yenu peke yenu? Huu ndio ule mtindo wenu wa kila siku wa Chenu chenu na cha wenzenu Chenu.
Viongozi wote wa Zanzibar wana historia kubwa bara lakini nambie kiongozi hata mmoja wa bara ambaye Zanzibar watamuenzi hata kwa dogo zuri?...Mnakuwa watu msokuwa na shukran, umaskini wa roho basi umefikia hata ktk matamshi yenu...
Haki yetu itabaki kuwa haki yetu na cha pamoja ki8takuwa cha pamoja sisi si wanafiki kama nyinyi. Tuna haki ya kupata kinachojuzu ndani ya inayoitwa Tanzania na tuna haki ya kupata kinachojuzu kwa Zanzibar kwa vile tulikubaliana kuwa kuungana sio kutawaliana na hivyo tutabaki kuwa wazanzibari na nyie kwa tamaa ya kuhaodhi na uvivu wa kujitegemea kwa chenu peke yenu mliamuwa kuvaa joho la Tanzania basi endeleeni kujificha na kuwa wanafiki lakini sisi unafiki na kujidai hautjuzu kwani tulipoamua kuungana tulijuwa kuwahatukuchanganyika bali kuna kiungo ambacho hali ikiwa si nzuri kwa mmojawapo ataweza kujinasuwa. Ninyi mlikuwa na lengo la kujumuisha ili mzidi kupata.
 
Hivi ni wapi wamesema kuzamisha !!??

Sababu hapo naona "TOW" ambayo inamaanisha kuvuta na Middle ya Indian ocean katikati ya bahari.... Sasa wakuu ninauliza ni vipi unaweza kuzamisha kitu kwa kukivuta na sio chini ya bahari bali katikati ya bahari...

Ukisoma paragraph nzima utaona kwamba sentence inamaanisha kwamba angekipeleka kisiwa mbali ili kuepuka matatizo ya vita baridi

Hivyo kuburuza kitu katikati ya bahari ya hindi ni nini kama sio kuzamisha?
 
Ngekewa,


Kuhusu kwa nini Zanzibar nimeshaeleza huko nyuma, labda kwa haraka haraka..

1. Hakuwepo na mahusiano mazuri kati ya TANU/ ASP na HIZBU...Hizbu walikuwa wakitaka kuendeleza utawala wa Sultan kama serikali ya Ian Smith na Rhodesia (Zimbabwe). Wenyeji hawakuwa na uwezo wa kuchukua nchi tofauti na nchi nyinginezo, asilimia kubwa ni wahamiaji.
2. Hofu ya Ukomunist ingawa ndio tukaja kuwa.
3. Nyerere hakutaka sana muungano wa nchi za kiafrika isipokuwa kwa awamu na kama leo tumeshindwa kuimarisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ingekuwa vipi kwa Afrika nzima inge ungana kama alivyotaka Nkurumah!.

Binafsi sina tatizo na Wazanzibar kudai wanayoyadai ndani ya Muungano lakini kama Mzanzibar sintakubali kujitenga kwa sababu yanayowakuta South Sudan leo hii sii ya kuombea kabisa ingawa wao hawakuliona hili. Nijuavyo mimi nusu ya raia wa Kizanzibar wanaishi bara hawa mnawafikiria vipi.. Waanze kuishi kwa vibali na visa na pengine kupelekea kunyang'anywa kupoteza mali zao. Hawa Wazanzibara watakuwa raia wa nani?...tena Wabara watafurahia zaidi kuvamia mali za kina Mwinyi, Karume na Wapemba huko Kariakoo na Temeke... huyaoni matatizo haya, kama yametokea Khartoom na sasa yameingia baina yao wenyewe wa kusini inashindikana vipi kutokea kwetu!

Tatizo lenu mnaomba talaka bila kufikiria watoto na ndio tunasema huu ni unafiki maanake ikija siku ya siku mkaambiwa mnatakiwa kupoteza vitu hivi sidhani kama Zanzibar patakalika! halafu madai haya yanaletwa sana na wahamiaji mnataka kuifanya Zanzibar kama halali yetu..Hii sio Marekani wala Israel! - tulieni..
 
Tehe tehe, its already decided Muungano utavunjwa na Zanzibar mtakuwa huru...

Its matter of time...
 
Unaonyesha jinsi ulivo kadogoo kijana. Hivyo una wasiwasi na hayo unayoambiwa? Basi waulize wale waliokuwa karibu na Zanzibar (kwani wengi wenu hata wenye umri mkubwa walikuwa wakiisikia tu zanziba)
Kadogoo unauliza iwapo kulikuwa na nguvu? Si uone mwenyewe sasa hivi namna Tanganyika inavyoingangania Zanzibar? unafikiri kama hili jambo lingekuwa la hiyari tungefikishana kwenye matusi na masimangano?
Unajaribu kujiinua na kujitukuza kwa umri (?), bahati mbaya umefanikiwa kuithibitishia jamii kuwa what matters is a man himself, usitegemee uwe na kichwa nazi then ufikiri umri utakubeba, fikirisha kichwa hicho na utaongea mambo ya maana.
Back to the Topic kama unadhani Zanzibar ina Nguvu na maamuzi kwa kiasi unachofikiri, ungekuwa imeshajitenga, ni mpaka tutakapoamua sisi, ninyi hamuna mamlaka wala uwezo wa kujitoa katika huu muungano ninyi ni sehemu ya Tanzania na wala si mbia kama munavyoaminishwa na ukitaka kujua sababu jiulize na kwa nini Taiwan imeshindwa kujitenga na China na haitatokea........ukijua sababu rudi hapa utuambie findings zako zikoje
 
Jamani labda hamkumwelewa Nyerere kwa sababu naona kama mnapotosha vile!..

Zanzibar ilikuwa ikitawaliwa na Sultan na wakati ule kulikuwa hakuna dalili kabisa ya AfroShiraz kushinda pamoja na jitihada zote zilizofanywa. Hivyo alitazama yatakayokuja mbeleni na alielewa pale itakuja tokea vita kubwa kwani bila vita haitakuwa rahisi nchi ile kuwa huru. Hivyo akasema kama angekuwa na uwezo angeisogeza Zanzibar ndani zaidi bahari ya Hindi ili isiwe tatizo lake na Afrika.. Na kweli, Uhuru wa Zanzibar ni historia ambayo hatutapenda kurudiwa! tunaelewa vizuri kilichotokea na UTU wa binadamu haukuthaminiwa kabisa.. Yawezekana he was right, Pengine Zanzibar ingekuwa salama zaidi kama ingekuwa ndani zaidi bahari ya Hindi ikajulikana ni sehemu ya Oman maanake wanatupa shida hadi leo hii - Who know pengine wangekuwa wameendelea zaidi ya leo hii..

Mkuu, you have said it all!
 
Kwanza hekima hana period

Matatizo ya udini na ubaguzi ameanza yeye..na tutayamaliza InshAllah

Hizo hekima anazo kwa waliofaidi ubaguzi wake wnataka kumuita st. nyerere period

Peleka huko kwenu hizo itikadi zenu, tuacheni na Tanganyika yetu. Kama kweli mmechoka jitoeni, tuacheni tumuenzi Mwl Nyerer wetu!
 
Lakini ukweli hiki kisiwa ni headache kwetu kwa sasa kama alivyosema mwalimu!
Je angewaacha wabaki na kisiwa chao?Awe ana monitor tu closely?Maana headache aliyoiuzungumiza siyo hii munayo irefer kwasababu wakati huo muungano ulikuwa bado,na hata uhuru bado.Kwa hiyo headache hii ni baada ya kuungana,ama kui occupy zanzibar.
 
Hamna lolote,nyerere na elimu yake yote hakuwa na na uwezo wa kuleta maendeleo katika nchi yake,na ndio maana aliona choyo kwa zanzibar,kwa vile zanzibar ipo karibu na tanganyika inakuwa inawaumiza sana kuona visiwa vidogo kama zanzibar vina maendeleo kuliko mainland huko tanganyika.

Ukiangalia maendeleo ya tanganyika yamekuja baada ya kuongoka nyerere,kwani nyerere alikuwa na mawazo ya kizamani,na kuroho mbaya na ya kishamba,wakati wa nyerere mtu haendi ulaya,wala popote pale kutembea,wakati wa nyerere ukiwa tajiri anaku nyang'anya mali yako,kama hamuamini nendeni maeneo ya tanga kuna watanganyika wenye asili ya kiarabu ambao walikuwa matajiri wakati huo baada ya uhuru,walinyang'anywa mali zao.

Nyerere ni mtu mambaye roho mbaya kabisa,na alikuwa akipinga sana uislamu,katika east coast zanzibar ilikuwa ni nchi yenye waislamu asilimia 100,na tukiacha hilo ni nchi ambayao ilikuwa ina maendeleo mazuri sana ukitofautisha na nchi nyengine.

Uganda vile vile,zimekuja tu siasa eti eddi amini alikuwa kiwanyanyasa wananchi wake,eti akila watu,ah siasa tu,Eddi amini alikuwa muislamu,na alikuwa akipigania haki za waislamu ndani ya nchi yake,nyerere ilimtoka roho kwa kupigania kanisa lake ccm- chritian church movement.

Tuacheni basi kama headache. tumechoka na nyinyi munatutia umasikini.

Like hole in a head!!! hayo maneno kamwambie mkeo nyumbani.Watanganyika tunaijua historia hatuisikii kwa mara ya kwanza kutoka kwako. Hujuwi unalolisema...ondoa kiwingu hapa!
 
Back
Top Bottom