Mwalimu Nyerere: "...Ningekuwa na uwezo ningeitupa Zanzibar Baharini"

Haya Maneno yanaonesha jinsi Nyerere alivyokuwa na CHUKI na UISLAMU. Alikuwa anaiogopa ZNZ kwa sababu ni Waislamu. Huu ni USHAHIDI tosha huyu Nyerere alikuwa ADUI namba moja wa Uislamu.
 
Haya Maneno yanaonesha jinsi Nyerere alivyokuwa na CHUKI na UISLAMU. Alikuwa anaiogopa ZNZ kwa sababu ni Waislamu. Huu ni USHAHIDI tosha huyu Nyerere alikuwa ADUI namba moja wa Uislamu.
Mr. Right,
As always you are wrong again. Maybe you need to change your name.
 
Wewe soma nyakati kwanza zanzibar kabla ya uhuru na mapinduzi ilikuwa vipi kiuchumi ? Ilikuwa vipi kimaendeleo ? Ikisha linganisha na Tanganyika kwa wakati huo ifananize na zanzibar ilikuwa vipi kimaendeleo ?

Hizo unazo sema wewe ni siasa tu,sisi tunaangalia nyakati za kiamendeleo na uchumi,uwongozi. Zanzibar ilipata uhuru wake 1963 kuwa mwanachama kamili wa UN,unajua sheria za kujiunga na UN ili uweze kupatia uwanachama pale United Nation ?

Kama hujui basi kazitafute. ingia hapa United Nations and the Rule of Law

Ukiweza kutimiza hayo masharti basi ndio unaweza kupatiwa uwanachama wa UN,na katika masharti hayo ni Humain right ,sasa leo hii tunaletewa siasa na uwongo hapa kwetu,eti ubaguzi,acheni unafiki,tuwe wawazi,tusome nyakati.

Nyerere kitu ambacho kilicho muumiza zanzibar ni UTAJIRI WA ZANZIBAR basi hakuna jengine. Choyo tu.
Kama Zanzibari ihapo awali ilikuwa hivyo mnavyodai, naamini kabisa kabisa msingekubali kuungana, kwani tuliwavamia kijeshi? Hebu tuangalie jumla ya safari za Nyerere na Karume, ni yupi aliekuwa anaonoza kwa safari za kuelekea upande wa Mwenzake?
Hamjawahi kuwa imara kwa kiwango mnachojaribu kujionyesha...........Ila msijali, muungano ni kama umeshafika katika finishing line, in time you will see the and te rea picture.
 
Kupotosha maanani kati ya mambo wanayoweza wakayafanya kwa usahihi wa hali ya juu kabisa.
Ni ngumu sana kwa mnafiki kukubaliana na ukweli hivyo tuwapuuze na kuwasamehe tu hawa watu, maneno ya kuzusha na kujifanya wapo juu ni moja ya mambo ambayo yanawaongezea afya ya mwili hivyo tuwavumilie, ingawa wanazidi kujilimbikizia ujinga, lakini tutafanyeje wakati na ni wenzetu na uhai ndiyo jambo la msingi?
 
kwasababu anajua aliyoyafanya kuhusu znz.nikama mwanafunz asie soma hlf akasema mtihan ujao ntafel.
Dah mkuu, chuki inaweza kukuondolea hata uwezo wa kufikiri vizuri!! Umeielewa vizuri hii au lugha imekuchanganya?! Mada inasema hayo maneno aliyasema kabla ya uhuru. Upo hapo???
 
Wazanzibari mctafute sababu za kujitenga kwa kisingizio ya kuchukiwa kwa misingi ya din,MUNGU 2NAKUOMBA HAWA WAZENJI WAJITENGE wajifunze kwa matendo,pia itatusaidiwa Watanganyika kupata wafanyakazi wa bei nafuu.Tatizo hapa wazenji mnawatumania sana wajomba(waarabu)
 
Wazanzibari mctafute sababu za kujitenga kwa kisingizio ya kuchukiwa kwa misingi ya din,MUNGU 2NAKUOMBA HAWA WAZENJI WAJITENGE wajifunze kwa matendo,pia itatusaidiwa Watanganyika kupata wafanyakazi wa bei nafuu.Tatizo hapa wazenji mnawatumania sana wajomba(waarabu)
Bora tungeendelea kutawaliwa na waarabu,kwani wametuletea maendeleo hapo awali kabla hawajapinguliwa na zanzibar ilikuwa nchi ambayo kwa east africa ilikuwa na uchumi mzuri hata tanganyika haikuweza kufikia zanzibar kwa uchumi wake kabla ya mapinduzi.

Sasa hivi tunatawaliwa na koloni mweusi ambaye mwenye choyo kabisa tena dhahiri kabisa,kwani sisi wazanzibari tunauchukia muungano ? Au munafikiri sisi tuna matatizo ya kidini au ? LAA hasha,sisi tunachotaka muungano wenye usawa kabisa,tuheshimiwe zanzibar kama nchi kamili na yenye maamuzi yake,tumechoka kuburuzwa na nyinyi,munatutia umasikini.

Tatizo la watanganyia munajifanya mumesoma lakini usomi wenu mume cremu ma book tu,hamuende na nyakati,nafiki tatizo lenu hamujui sheria,wala hamujifunzi kutoka kwa walio pita,sisi wazanzibari tunaufahamu muungano vizuri zaidi ya nyinyi,ispokuwa munajifanya wajanja sana kutaka kutuburuza,wakati umefika,kama hamutaki serikali tatu,basi muungano bora ufee tumechoka kunyanyasa na bwana muungano.
 
Aliyeposti upuuzi huu ni mtu wa karibu na edward lowasa ama ni mtu wa karibu na dk wibroad slaa huu ni ujinga na upuuzi wa kutengeneza chuki kwa wazanzibar dhidi ya mwalimu,,,hivi y isiufute mtandao huu wa jf
 
If he could tow - implying if he could move it far away from the shores of Tanganyika (kuondoa kiwingu)... Sioni pahala aliposema directly or even by inference kuwa "NITAIZAMISHA"!!

Mtu anaposema "hebu mpotezee huyo" - hamaanishi umlipue kwa bomu na kubakia vipandevipande!


Kweli kabisa na laiti huyu Bwana asingekuwa "natural loser" angeweza kuizamisha lakini bahati kuwa ni mtu wa kufeli kila siku.
 
Much missin' u mwalimu, kuna wahuni wanaharibu nchi wako tayari kubaki madarakani kwa kila gharama..

Kwani sote si tunamuenzi? Kwa vile alishindwa nasi tunadanganyana na kukataa kufeli kwake tutaendelea kuboronga kama alivyofanya yeye.
 
Jamani labda hamkumwelewa Nyerere kwa sababu naona kama mnapotosha vile!..

Zanzibar ilikuwa ikitawaliwa na Sultan na wakati ule kulikuwa hakuna dalili kabisa ya AfroShiraz kushinda pamoja na jitihada zote zilizofanywa. Hivyo alitazama yatakayokuja mbeleni na alielewa pale itakuja tokea vita kubwa kwani bila vita haitakuwa rahisi nchi ile kuwa huru. Hivyo akasema kama angekuwa na uwezo angeisogeza Zanzibar ndani zaidi bahari ya Hindi ili isiwe tatizo lake na Afrika.. Na kweli, Uhuru wa Zanzibar ni historia ambayo hatutapenda kurudiwa! tunaelewa vizuri kilichotokea na UTU wa binadamu haukuthaminiwa kabisa.. Yawezekana he was right, Pengine Zanzibar ingekuwa salama zaidi kama ingekuwa ndani zaidi bahari ya Hindi ikajulikana ni sehemu ya Oman maanake wanatupa shida hadi leo hii - Who know pengine wangekuwa wameendelea zaidi ya leo hii..


Kwani ni Zanzibar tu ndiyo iliyokuwa ikitawaliwa? Umesahau nchi za mastari wa mbele? Na kwanini aichukue Zanzibar kama ardhi tu bila ya kufikiri kuwa kuna watu ambao wangeweza kupambana kama alivyosaidia mapambano ya makaburu waliokuwa na nguvu nyingi au Wareno kama taifa kubwa? Tangu na mwanzo huyu Babu alikuwa na lake kwa Wazanzibari.
 
But it happened right?..Unajua kabla ya Nyerere kusema haya viongozi wote wa nchi za Afrika mashariki na wajumbe wake walikuwa wakikutana mara kwa mara ktk mikutano inayohusu Uhuru wa nchi zetu. Nyerere, Kenyatta, Kaunda na Karume walikuwa wawakilishi ktk vikao vingi sana na chama pekee ambacho kilipata ushindani mkubwa nchini mwao kilikuwa ASP ya Karume kutokana na chama cha waarabu - Hizbu ambao walikuwa na beef na ASP pamoja na TANU wala sii kidogo.

Tatizo hili watu wengi hawalizungumzii kabisa, na kwa mwenye hekima kama Nyerere haikuwa ajabu kabisa kwa mwenye upeo mkubwa kama Nyerere kuyaona hayo!...Na trust me hata mimi leo kama ningekuwa na uwezo wa kukihamisha kisiwa hiki basi ningekisogeza mbali na bara maanake tumeshindwa kujenga Utaifa kuzungumzia matatizo ya wananchi isipokuwa maswala ya rangi, dini na kadhalika kwa sababu asilimia zaidi ya 80 ya Wazanzibar ni wahamiaji (watu wa kuja) mila na desturi zetu tofauti kabisa!

Nawaudhi watu sana tu, lakini ndio ukweli!


Bwana Mkandara, Jee Zanzibar ilikuwa ndio nchi pekee iliyokuwa kwenye kutawaliwa? Na iwapo uchaguzi unachakachuliwa ndio unaona utatuzi kuiondowa nchi kwenye ramani iliyoko? Ikiwa hivyo basi kuna mikowa ya Tanzania au Tanzania yenyewe ingebidi itolewe kwenye ramani.
Ninachokusudia ni kuwa kwanini Nyerere aiombee mabaya Zanzibar huku si nchi yake? (wakati huo)?
 
Haha angeona kaburi lake kwanza,kwani yeye mtume au ?

Hivi aliyekuja kumshitaki Jumbe kuwa anataka kuvunja muungano alikuwa Mbara? na huyu jamaa alifanya haya yote sasa hivi ni lulu huko Zanzibar. Uelewa wenu wazanzibar ni mfinyu saana, na haya yote ni kukosa ilimu, ndo maana mnajisemea tu, na sijui hivi mkikutana huko Zanzinet, sijui mnaongea nini? maana wote mnafikiri kwa masaburi
 
Hivi ni wapi wamesema kuzamisha !!??

Sababu hapo naona "TOW" ambayo inamaanisha kuvuta na Middle ya Indian ocean katikati ya bahari.... Sasa wakuu ninauliza ni vipi unaweza kuzamisha kitu kwa kukivuta na sio chini ya bahari bali katikati ya bahari...

Ukisoma paragraph nzima utaona kwamba sentence inamaanisha kwamba angekipeleka kisiwa mbali ili kuepuka matatizo ya vita baridi


Hivyo maili 40 si umbali wa kutosha ukiangalia na mipaka ya Msumbiji wakati ule? Mbona hakuthtubutu kusema ata"drage" Msubiji ili kuepuka vita baridi na hata moto alivyoshiriki baadae?
 
Back
Top Bottom